Mh Rais kuna baadhi ya watumishi uliowapa dhamana ya kusimamia maslai ya wafanyakazi wanakuangusha kwa kutojali stahiki za wafanyakazi pindi wanapofanya uhamisho.
Sisi wafanyakazi wa halmashauri katika mkoa wa Morogoro idara ya ardhi tulipewa uhamisho tangu mwezi wa tano 2019 bila malipo yoyote na kuamriwa kuripoti katika vituo vipya ndani ya muda waliopanga wenyewe, Mh Rais kupitia wasaidizi wako tunaomba tusaidiwe kwani tunapata shida sana na ninakumbuka ulishatoa agizo kuwa mfanyakazi alipwe fedha za uhamisho ndipo atolewe katika kituo cha awali.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sisi wafanyakazi wa halmashauri katika mkoa wa Morogoro idara ya ardhi tulipewa uhamisho tangu mwezi wa tano 2019 bila malipo yoyote na kuamriwa kuripoti katika vituo vipya ndani ya muda waliopanga wenyewe, Mh Rais kupitia wasaidizi wako tunaomba tusaidiwe kwani tunapata shida sana na ninakumbuka ulishatoa agizo kuwa mfanyakazi alipwe fedha za uhamisho ndipo atolewe katika kituo cha awali.
Sent using Jamii Forums mobile app