Mh. Rais, serikali yako imetenga mabillion ya pesa kwa ujenzi wa stendi za mabasi katika maeneo ya Nyamhongoro na Nyegezi jijini Mwanza, hili ni jambo zuri la kupongezwa katika juhudi za kuboresha miundombinu ya miji yetu,
Mh Rais najua unalifahamu vizuri jiji la mwanza ndio maana naandika haya kama mwanachi ninayeguswa na maendeleo ya Taifa letu.
Jiji la Mwanza kwa sasa limebanana sana maeneo yanayotaka kujengwa stendi hayafai kabisa kwa sasa na hata kwa baadae, tuomba uingilie kati hili suala otherwise tutafanya mambo kama watu tusiokuwa na maono wala fikra za baadae ili tu kufanikisha malengo ya wanasiasa fulani.
USHAURI : Mh Rais sehemu nzuri na ambayo ipo strategic kwa stendi ya nyamhongoro ni kisesa na kwa Nyegezi ni Nyashishi, suala la mivutano ya mapato kati ya halmashauri na mambo ya kitoto na yasiyoangalia maslahi mapana ya ujenzi wa taifa letu.
Kama itakupendeza Mh Rais ni bora kuirudisha Kisesa na Usagara ndani ya jiji ili kuondoa hii mivutano ambayo naona haina tija kabisa.
Stendi ikijengwa kisesa itasaidia magari yanayoenda Dar na mikoa mingine yanayotokea musoma kutoingia jijini bali kupitia njia mpya ya kisesa -usagara iliyojengwa na serikali yako
Pia Mh Rais unaweza amua kuunganisha pesa za hii miradi miwili ukajenga stendi moja kubwa na ya kisasa maeneo ya FELA itakayohudumia mabasi yote ya mikoani na daladala zitafanya kazi za kusomba watu, kwanza itachochea uwekezaji katika hayo maeneo na kukuza miji yetu.
Hata station kubwa ya abiria wa standard gauge ningeshauri ijengwe FELA kuliko kuipeleka katikati ya jiji, SGR station ya Mwanza ikijengwa FELA na stendi kubwa ya mabasi ikijengwa FELA na kituo kikubwa cha daladala design ya kama kile cha mbezi basi tutakuwa ni watu tunaofikilia miaka 30 mbele, hata ikitokea Mwanza ikapata mradi Wa mwendo kasi itajengwa Kwa mpangilio unaoeleweka.
Ikikupendeza Mh Rais naomba ulifikilie wazo langu kwa kina, ujenzi wa hizi stendi kwa miaka michache ijayo hazitakuwa na tija tena na itabidi kuhamisha tena.
Mh Rais najua unalifahamu vizuri jiji la mwanza ndio maana naandika haya kama mwanachi ninayeguswa na maendeleo ya Taifa letu.
Jiji la Mwanza kwa sasa limebanana sana maeneo yanayotaka kujengwa stendi hayafai kabisa kwa sasa na hata kwa baadae, tuomba uingilie kati hili suala otherwise tutafanya mambo kama watu tusiokuwa na maono wala fikra za baadae ili tu kufanikisha malengo ya wanasiasa fulani.
USHAURI : Mh Rais sehemu nzuri na ambayo ipo strategic kwa stendi ya nyamhongoro ni kisesa na kwa Nyegezi ni Nyashishi, suala la mivutano ya mapato kati ya halmashauri na mambo ya kitoto na yasiyoangalia maslahi mapana ya ujenzi wa taifa letu.
Kama itakupendeza Mh Rais ni bora kuirudisha Kisesa na Usagara ndani ya jiji ili kuondoa hii mivutano ambayo naona haina tija kabisa.
Stendi ikijengwa kisesa itasaidia magari yanayoenda Dar na mikoa mingine yanayotokea musoma kutoingia jijini bali kupitia njia mpya ya kisesa -usagara iliyojengwa na serikali yako
Pia Mh Rais unaweza amua kuunganisha pesa za hii miradi miwili ukajenga stendi moja kubwa na ya kisasa maeneo ya FELA itakayohudumia mabasi yote ya mikoani na daladala zitafanya kazi za kusomba watu, kwanza itachochea uwekezaji katika hayo maeneo na kukuza miji yetu.
Hata station kubwa ya abiria wa standard gauge ningeshauri ijengwe FELA kuliko kuipeleka katikati ya jiji, SGR station ya Mwanza ikijengwa FELA na stendi kubwa ya mabasi ikijengwa FELA na kituo kikubwa cha daladala design ya kama kile cha mbezi basi tutakuwa ni watu tunaofikilia miaka 30 mbele, hata ikitokea Mwanza ikapata mradi Wa mwendo kasi itajengwa Kwa mpangilio unaoeleweka.
Ikikupendeza Mh Rais naomba ulifikilie wazo langu kwa kina, ujenzi wa hizi stendi kwa miaka michache ijayo hazitakuwa na tija tena na itabidi kuhamisha tena.