kivyako
JF-Expert Member
- Feb 2, 2012
- 14,341
- 12,045
Ni MimiHivi aliyekuwa anaandika "Mwigulu Rais" 2015 kwenye mawe, barabarani na kwenye kuta za majengo mabovu ni nani?
Pole sana mdau. Tatizo lako ni kutokutangaza maslahi yako.Nakuomba Mh Rais. Mtizame kwa jicho la huruma Mwigulu Nchemba kiukweli anajitahidi sana kukutetea. Usimwache hivi hivi. Ni kijana anayejitoa hasa katika mambo ya utetezi wa jambo ambalo anaamini litamsaidia.
Zipo nafasi kadhaa usimwache hivi kwa muda mrefu mwangalie kwa jicho la huruma jinsi alivyo na moyo wa kukupambania please usimsahau maana umewapa nafasi akina simbachawene ambao hata hatuwasikii sana wakitokwa na povu kwa ajili yako.
Mwigulu hana ujanja bila madaraka. Yeye huko kwao ndio tajiri kwakuwa alikuwa waziri, hivyo kitendo cha kuwa nje ya uwaziri utajiri wake umeisha, na anaona hata heshima yake imepungua.
Na ni kweli anatia huruma. Tarehe 29 Desemba mwaka jana nilionana naye - sio Mwigulu wa enzi zile namna anavyoongea. Hadi mi akaniita "Kiongozi" wkt ni mpiga kura wake tu. Nimekuwa nikimshauri upepo ulivyo apumzike kdg siasa lakini naona kawa mgumu kuelewa na tayari kishaanza Kampeni za kuwarushia baadhi ya makada wa CCM ujumbe wasimtupe kwenye Uchaguzi. Ninavyoona hizo hizo meseji zitatumika kummaliza.Ndio maana siku hizi hafumaniwi na wake za makada wa CCM kama kule Igunga? Kumbe ukidume ule ilikuwa nguvu ya madaraka?
Ila makada wa CCM wanatia huruma, kumbe wakubwa wakiwa maeneo yao wanawapatia "my wife" wao kuwa kiburudisho? Au ili kuwa Sera za Mwigulu?
Sent using Jamii Forums mobile app
Alijisahau sana. Kwa sasa akirudi ana nidhamu!
Hivi aliyekuwa anaandika "Mwigulu Rais" 2015 kwenye mawe, barabarani na kwenye kuta za majengo mabovu ni nani?
Ampe paja tu itatosha. Tumekosa uwakilishi singidaAlimpa shavu akashindwaa sasa unataka ampe nini
Jamaa baada ya kuwa anakosa zawadi ameamua kumlipua huku. Avumilie tu.Kwa hiyo Bulembo, Halima ahachane na Zitto?
Muda siku zote ni mwalimu mzuri, shikamoo mkuuNakuomba Mh Rais. Mtizame kwa jicho la huruma Mwigulu Nchemba kiukweli anajitahidi sana kukutetea. Usimwache hivi hivi. Ni kijana anayejitoa hasa katika mambo ya utetezi wa jambo ambalo anaamini litamsaidia.
Zipo nafasi kadhaa usimwache hivi kwa muda mrefu mwangalie kwa jicho la huruma jinsi alivyo na moyo wa kukupambania please usimsahau maana umewapa nafasi akina simbachawene ambao hata hatuwasikii sana wakitokwa na povu kwa ajili yako.
Ni msikivu sana kwa kweli.Hii inaonesha jinsi ambavyo Mh Rais anasikiliza maoni na ushauri tunaompatia.