Udambu Udambu
Senior Member
- Aug 8, 2018
- 188
- 352
Mh Rais amepita hapa Manyoni kila mtu kashinwa Na butwaa.
Magari: 32
Helkopta 4 juu
Je Kweli Mkuu anabana matumizi? Yeye si unakubalika kwa wananchi, then Mbona imekuwa hivi?
Je angetumia ndege Na Na huu msafara kipi bora?
Au kwavile mi mshambaaa sijuii maana ya kubana matumizi??
(Siwezi kuweka picha Kwa sababu Za kiusalama)
Magari: 32
Helkopta 4 juu
Je Kweli Mkuu anabana matumizi? Yeye si unakubalika kwa wananchi, then Mbona imekuwa hivi?
Je angetumia ndege Na Na huu msafara kipi bora?
Au kwavile mi mshambaaa sijuii maana ya kubana matumizi??
(Siwezi kuweka picha Kwa sababu Za kiusalama)