Anaenda kulala chumba kingine,na uzuri,mazingira Yana mruhusu kulala hata mchana !!!!!Mama anakumbuka shuka wakati kumekucha.
Jiwe alikuwa mwizi sanaKumbe ufisadi mkubwa ulianzia awamu ya tano ya Bwana Chato😁😁😁
View attachment 2032651
😁😁😁Jiwe alikuwa mwizi sana
Awamu ya tano mama alikuwa wap?Kumbe ufisadi mkubwa ulianzia awamu ya tano ya Bwana Chato
View attachment 2032651
Hivi unadhani CCM ilipata wapi hela za kampeini ya mwaka 2015,miaka yote fedha ya kampaini hupatikana kwa njia ya ufisadi, Nani sio mwizi CCM?Jiwe alikuwa mwizi sana
Hao makomandoo wamekamatwa mwezi wa 8 mwaka 2020, ilikua Ni awamu ya ngapi hio?Samia aliteua DPP wake ndio akamshtaki Mbowe kwa hii kesi, sio DPP wa Magufuli (Biswalo Mganga)
Sasa ni jumba bovu kivipi wakati DPP ni wa Samia?