Mh. Rais Magufuli, mbona hukumwajibisha DC Ikungi aliyegombea ubunge Jimbo la Singida Mashariki kama ulivyowahi kuwakemea?

Trust None

JF-Expert Member
Feb 12, 2018
1,260
4,415
Mheshiniwa Rais, ulishawahi kuwakemea wateue wako kutogombea ubunge ukiwaonya kuwa hiyo ni tamaa.

Nakumbuka ulitolea mfano kwa Mwananzira aliyewahi kuwa mkuu wa mkoa wa Tabora na ukasema aliwahi kuwa Naibu Waziri enzi za Mh. Kikwete. Ukasema kuwa aliona ukuu wa mkoa hautoshi akaenda kugombea ubunge.

Nakumbuka ulisema kuwa uliona ni mtu mwenye tamaa sana, hafai hata kuwa katibu tarafa na ndiyo maana amepotea.

Nilitegemea mkuu wa wilaya ya Ikungi alipochukua fomu ya Ubunge ungemchukulia hatua mapema sana lakini naona bado kimya.

Huenda kuna TEUZI inaandaliwa baada ya huyo Miraji Mtaturu kushinda ubunge kwa kupita bila kupingwa kwasababu mpaka wakati huu sijaona harakati zozote za wapinzani. Au uliona ukimvua uDC halafu ukamteua ingeleta picha mbaya?

Binadamu tumeumbwa na tamaa ya kuwa na kipato kikubwa zaidi kwa maendeleo yetu.

Hata wewe mheshimiwa Rais unapotekeleza miradi ya maendeleo una lengo la kuifanya Tanzania ipige hatua kimaendeleo (tamaa ya maendeleo), usingekuwa na tamaa ya maendeleo ungepiga kimya tu.

Hata wewe mheshimiwa ulikuwa Mwalimu, ukawa mkemia, ukagombea ubunge, ukateuliwa kuwa waziri na baadae ukagombea Urais. Naamini hizi zote ni juhudi (tamaa) za kila mwanadamu kupiga hatua moja kwenda nyingine.

Hata mimi nilikuwa natembea kwa mguu kwenda shambani lakini sasa hivi nimenunua baiskeli, baadae nitanunua pikipiki na mbeleni magari na mabombadia. Hizi zote ni tamaa za maendeleo kama ilivyo kwa kila mwanadamu.

Jumapili njema.
 
Mkuu alisema uchague moja, huyo dc kachagua ubunge akikosa ndio imetoka hiyo asisubiri kupata tena uDC
Bavicha mna tafsiri yenu
 
Mheshiniwa Rais, ulishawahi kuwakemea wateue wako kutogombea ubunge ukiwaonya kuwa hiyo ni tamaa.

Nakumbuka ulitolea mfano kwa Mwananzira aliyewahi kuwa mkuu wa mkoa wa Tabora na ukasema aliwahi kuwa Naibu Waziri enzi za Mh. Kikwete. Ukasema kuwa aliona ukuu wa mkoa hautoshi akaenda kugombea ubunge.

Nakumbuka ulisema kuwa uliona ni mtu mwenye tamaa sana, hafai hata kuwa katibu tarafa na ndiyo maana amepotea.

Nilitegemea mkuu wa wilaya ya Ikungi alipochukua fomu ya Ubunge ungemchukulia hatua mapema sana lakini naona bado kimya.

Huenda kuna TEUZI inaandaliwa baada ya huyo Miraji Mtaturu kushinda ubunge kwa kupita bila kupingwa kwasababu mpaka wakati huu sijaona harakati zozote za wapinzani. Au uliona ukimvua uDC halafu ukamteua ingeleta picha mbaya?


Binadamu tumeumbwa na tamaa ya kuwa na kipato kikubwa zaidi kwa maendeleo yetu.

Hata wewe mheshimiwa Rais unapotekeleza miradi ya maendeleo una lengo la kuifanya Tanzania ipige hatua kimaendeleo, usingekuwa na tamaa ya maendeleo ungepiga kimya tu.

Hata wewe mheshimiwa ulikuwa Mwalimu, ukawa mkemia, ukagombea ubunge, ukateuliwa kuwa waziri na baadae ukagombea Urais. Naamini hizi zote ni juhudi za kila mwanadamu kupiga hatua moja kwenda nyingine.

Hata mimi nilikuwa natembea kwa mguu kwenda shambani lakini sasa hivi nimenunua baiskeli, baadae nitanunua pikipiki na mbeleni magari na mabombadia.

Jumapili njema.
leaders are born or made? huyu ni kiongozi wa kutengeneza hana karama za kiungozi. kwakuwa hana karama ni rahisi kutoa maneno yasiyotekelezeka. ONA AMEPORA KOROSHO ZA WATU BILA KULIPA ILI APATE SIFA BINAFSI? Hovyo sana
 
Mheshiniwa Rais, ulishawahi kuwakemea wateue wako kutogombea ubunge ukiwaonya kuwa hiyo ni tamaa.

Nakumbuka ulitolea mfano kwa Mwananzira aliyewahi kuwa mkuu wa mkoa wa Tabora na ukasema aliwahi kuwa Naibu Waziri enzi za Mh. Kikwete. Ukasema kuwa aliona ukuu wa mkoa hautoshi akaenda kugombea ubunge.

Nakumbuka ulisema kuwa uliona ni mtu mwenye tamaa sana, hafai hata kuwa katibu tarafa na ndiyo maana amepotea.

Nilitegemea mkuu wa wilaya ya Ikungi alipochukua fomu ya Ubunge ungemchukulia hatua mapema sana lakini naona bado kimya.

Huenda kuna TEUZI inaandaliwa baada ya huyo Miraji Mtaturu kushinda ubunge kwa kupita bila kupingwa kwasababu mpaka wakati huu sijaona harakati zozote za wapinzani. Au uliona ukimvua uDC halafu ukamteua ingeleta picha mbaya?


Binadamu tumeumbwa na tamaa ya kuwa na kipato kikubwa zaidi kwa maendeleo yetu.

Hata wewe mheshimiwa Rais unapotekeleza miradi ya maendeleo una lengo la kuifanya Tanzania ipige hatua kimaendeleo, usingekuwa na tamaa ya maendeleo ungepiga kimya tu.

Hata wewe mheshimiwa ulikuwa Mwalimu, ukawa mkemia, ukagombea ubunge, ukateuliwa kuwa waziri na baadae ukagombea Urais. Naamini hizi zote ni juhudi za kila mwanadamu kupiga hatua moja kwenda nyingine.

Hata mimi nilikuwa natembea kwa mguu kwenda shambani lakini sasa hivi nimenunua baiskeli, baadae nitanunua pikipiki na mbeleni magari na mabombadia.

Jumapili njema.
Nashangaa kuna watu bado mnamwamini meko huyu hata akitaja jinsi yake usimwamini kabsa labda mama akuthibitishiee Kwa ni "me"
 
Mkuu alisema uchague moja, huyo dc kachagua ubunge akikosa ndio imetoka hiyo asisubiri kupata tena uDC
Bavicha mna tafsiri yenu
atakosa vipi wakati anagombea mwenyewe? unalikumbuka lile taahira pale mbeya RC? Mbona lilikuwa na cheo kisha iringa kisha kichaa akaliteua kuwa RC? Ni rahic kusema sio kutenda? rejea matamshi ya UPORAJI WA KOROSHO KUSINI
 
Mheshiniwa Rais, ulishawahi kuwakemea wateue wako kutogombea ubunge ukiwaonya kuwa hiyo ni tamaa.

Nakumbuka ulitolea mfano kwa Mwananzira aliyewahi kuwa mkuu wa mkoa wa Tabora na ukasema aliwahi kuwa Naibu Waziri enzi za Mh. Kikwete. Ukasema kuwa aliona ukuu wa mkoa hautoshi akaenda kugombea ubunge.

Nakumbuka ulisema kuwa uliona ni mtu mwenye tamaa sana, hafai hata kuwa katibu tarafa na ndiyo maana amepotea.

Nilitegemea mkuu wa wilaya ya Ikungi alipochukua fomu ya Ubunge ungemchukulia hatua mapema sana lakini naona bado kimya.

Huenda kuna TEUZI inaandaliwa baada ya huyo Miraji Mtaturu kushinda ubunge kwa kupita bila kupingwa kwasababu mpaka wakati huu sijaona harakati zozote za wapinzani. Au uliona ukimvua uDC halafu ukamteua ingeleta picha mbaya?


Binadamu tumeumbwa na tamaa ya kuwa na kipato kikubwa zaidi kwa maendeleo yetu.

Hata wewe mheshimiwa Rais unapotekeleza miradi ya maendeleo una lengo la kuifanya Tanzania ipige hatua kimaendeleo, usingekuwa na tamaa ya maendeleo ungepiga kimya tu.

Hata wewe mheshimiwa ulikuwa Mwalimu, ukawa mkemia, ukagombea ubunge, ukateuliwa kuwa waziri na baadae ukagombea Urais. Naamini hizi zote ni juhudi za kila mwanadamu kupiga hatua moja kwenda nyingine.

Hata mimi nilikuwa natembea kwa mguu kwenda shambani lakini sasa hivi nimenunua baiskeli, baadae nitanunua pikipiki na mbeleni magari na mabombadia.

Jumapili njema.
Post bora kabisa hahahaha
 
Mheshiniwa Rais, ulishawahi kuwakemea wateue wako kutogombea ubunge ukiwaonya kuwa hiyo ni tamaa.

Nakumbuka ulitolea mfano kwa Mwananzira aliyewahi kuwa mkuu wa mkoa wa Tabora na ukasema aliwahi kuwa Naibu Waziri enzi za Mh. Kikwete. Ukasema kuwa aliona ukuu wa mkoa hautoshi akaenda kugombea ubunge.

Nakumbuka ulisema kuwa uliona ni mtu mwenye tamaa sana, hafai hata kuwa katibu tarafa na ndiyo maana amepotea.

Nilitegemea mkuu wa wilaya ya Ikungi alipochukua fomu ya Ubunge ungemchukulia hatua mapema sana lakini naona bado kimya.

Huenda kuna TEUZI inaandaliwa baada ya huyo Miraji Mtaturu kushinda ubunge kwa kupita bila kupingwa kwasababu mpaka wakati huu sijaona harakati zozote za wapinzani. Au uliona ukimvua uDC halafu ukamteua ingeleta picha mbaya?

Binadamu tumeumbwa na tamaa ya kuwa na kipato kikubwa zaidi kwa maendeleo yetu.

Hata wewe mheshimiwa Rais unapotekeleza miradi ya maendeleo una lengo la kuifanya Tanzania ipige hatua kimaendeleo, usingekuwa na tamaa ya maendeleo ungepiga kimya tu.

Hata wewe mheshimiwa ulikuwa Mwalimu, ukawa mkemia, ukagombea ubunge, ukateuliwa kuwa waziri na baadae ukagombea Urais. Naamini hizi zote ni juhudi za kila mwanadamu kupiga hatua moja kwenda nyingine.

Hata mimi nilikuwa natembea kwa mguu kwenda shambani lakini sasa hivi nimenunua baiskeli, baadae nitanunua pikipiki na mbeleni magari na mabombadia.

Jumapili njema.

Huyu mtu anapinga yaliyofanywa na wengine, lakini anapofanya yeye anasahau kuwa alishapingaga jambohilo hapo awali.

Nionavyo mimi anapinga kwanje (mbele za watu) lakini ndani (kwenye moyo wake na kweny kamati zaoungozi wake anawaambia wachape kazi(Wafanye wanayofanya)
 
Back
Top Bottom