Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wakunyumba?Hongera dokta Mndolwa
huu utawala kama hauna Phd au Prof sahau kupewa cheo
Zali limempata best yao Bashite tu, hali inavyokwenda wale wawili wasubiri kidogoTeua Teua bado Jenny Muro na Le Mpipaz.
Hawa wawili wamebobea katika mipasho tu.Teua Teua bado Jenny Muro na Le Mpipaz.
Ni kwa makusudi kabisa maana huko kwenye nyadhifa zao za nyuma walishafanya madudu, hivyo kuutangazia umma ni kujikaanga kwa mafuta yake mwenyeweNaona sasa hivi umekuwa mtindo kutokusema mteule alikua nani kabla ya utezi. Sijajua ni bahati mbaya au makusudi lakini ilianzia kwa uteuzi wa aina yake uliotoa mtu Dar hadi Tabora.
Mndolwa kama sikosei amewahi kuwa mwenyekiti wa bodi ya wakurugenzi KCB Tanzania. Tunamtakia mafanikio kwa nafasi yake.
Huyu Edmund Mdolwa PhD yake aliipatia wapi? Najua ana executive masters ya Mzumbe University ila PhD naomba kujua alisoma chuo gani? Maana wakati anapata Masters alikuwa anafanya kazi water price house coopers if my spellings are right. Hiyo PhD aliidomea wapi? Au ya online?Hongera dokta Mndolwa
Musiba naye anasubiri!!!Teua Teua bado Jenny Muro na Le Mpipaz.
Kuna kazi zingine huwa hazitangazwi mkuu,unapewa tu v8 la kukupeleka kunakotakiwa kikazi,we subiri watangazweDr. Bana na Fred Mpendazoe watasubiri sana, hawapati hata u DC ng'oooo
Ndo mkazitafutehuu utawala kama hauna Phd au Prof sahau kupewa cheo