Mh. Rais, madawa ya kulevya yanaua wasanii wetu. tuwatafute wahusika jamani!

Mshikwa na ngozi ndiye mla nyama,
Hapo dawa Ni kuwakamata wote wanaotuMia madawa hayo na kuwatia ndani,
yaani wakithibitika na daktari kuwa waeathiriwa na madawa,wafunguliwe mashitaka na kuwekwa,
Mtu katumia makusudi mnambembeleza kumpeleka sober?,
 
Kwani hawajui kwamba madawa mabawa?kila anayekula pilipili anataka kuwashwa,lakini hayo yote tisa kumi ni kwamba CHID BENZ kawafunika yaani ni vigumu sana kuamini kama yeye ila wengine unaweza kuwatambua
 
25392ccaabe44b2da29cf8bece97dabe.jpg
 
P naomba nikuulize kaswali kadogo na kamsingi na secondari toooka uzaliwe ulikuwa ukisoma na kushuhudia kwenye vyombo vya habari serikali ikiteketeza bangi, sijui bunduki lakini niambie nilini na wapi uliwahi soma au kushuhudia madawa ya kulevya yakiteketezwa? Nimejiwazia kwa sauti
wakati wa mkapa nakumbuka kuna shehena kubwa ya dawa iliteketezwa kwenye tanuru la kampuni ya saruji DSM (nadhani lilikuwa tanuru la twiga cement)
 
wafe tu
mbona sudan watoto wanakufa njaa
sembuse hawa wala ugolo wanajitambua kabisa
 
**nimerushiwa msg asbh Umeshindwa penalty kona utaiweza**

Naombaniwaaage pia kwenyehii post
 
170107: "Kwa kiasi kikubwa kutaka kukomesha tatizo la madawa ya kulevya ni kushughulika na waingizaji wa madawa ambao wanafahamika; na wengi wao wananyadhifa kubwa iwe za kisiasa au kiuchumi tunawaona kwenye kurasa za mbele za magazeti mara kwa mara"- Q-Chillah
 
Kinachowatokea vijana wetu hususani wasanii waliothirika na utumiaji wa dawa za kulevya kinaumiza sana.

Tunaomba Mheshimiwa Raisi wetu tusaidie swala la madawa. Yamekuwa ni shida sasa.

Wasaanii wameharibika wote. Tukiwatumia hawa ni rahisi kutujulisha wanaoingiza na wanaowapa/wauzia.

Mungu awatie nguvu kwenye hii vita ya madawa.

View attachment 455028
Hivi kwa nini kila zigo la tatizo tunamtwisha rais? au kwa vile ni msukuma????
Ukweli ni kwamba namna bora ya kutibu hawa waathirika itatokana na dhamira zao wenyewe kutoka kwenye hilo dimbwi.
Nimewasikiliza[kwa wakati tofauti] Qchilla na PHD wakizungumzia kadhia hiii. Qchillah kama muathirika aliyepona na PHD kuhusu jitihada zake za kumuokoa baba yake [ambaye ni muathirika]kwenye tatizo hili na wote hawa wamesema kitu muhimu sana yaani dhamira ya muathirika kujitoa kwenye dimbwi hilo na baada ya hapo misaada yetu ndiyo inaweza saidia.
 
nchi nyingi fedha za unga ndizo zinaendesha serikali, mfano cambodia, pastani uzestani
 
Back
Top Bottom