Mh. Rais, kujipa muda kabla ya kuagiza chanjo ni jambo jema lakini kukataa chanjo ni jambo ambalo halitowezekana na halitakuwa la busara!

Unakataa chanjo cha corona kwa hisia za chuki huku unapokea chanjo ya za watoto ya ndui,polio,nk,unapokea condoms,ARV,maziwa ya kopo,dawa za tb ipi tunazalisha
Na nilitegemea Mh Rais alete hoja za kisayansi ku prove kuwa chanjo zilizo kuja hazifai kama alivyo fanya kwenye vifaa vya kupimia Corona nilitegemea angetumia njia hiyo hiyo kwenye chanjo.... lakini tujiulize watu wanaokwenda kupima Corona wakitaka kusafiri wale wahudumu wetu pale maabara kuu wanatumia vifaa gani kam sio hivyo hivyo vya wazungu ambao wana lalamikiwa? kama tuliweza kujiridhisha kwwenye vifaa fulani ni vizima kwanini tusijiridhishe kwenye chanjo pia kuliko kuzikataa bila sababu za msingi hasa za kisayansi? Katika ili Rais amekosea sana na amefeli kabisa..... kwenye hili la chanjo anatakiwa kuwathibitishia watu kiuwa ni mbaya na si kusema tuu
 
Na nilitegemea Mh Rais alete hoja za kisayansi ku prove kuwa chanjo zilizo kuja hazifai kama alivyo fanya kwenye vifaa vya kupimia Corona nilitegemea angetumia njia hiyo hiyo kwenye chanjo.... lakini tujiulize watu wanaokwenda kupima Corona wakitaka kusafiri wale wahudumu wetu pale maabara kuu wanatumia vifaa gani kam sio hivyo hivyo vya wazungu ambao wana lalamikiwa? kama tuliweza kujiridhisha kwwenye vifaa fulani ni vizima kwanini tusijiridhishe kwenye chanjo pia kuliko kuzikataa bila sababu za msingi hasa za kisayansi? Katika ili Rais amekosea sana na amefeli kabisa..... kwenye hili la chanjo anatakiwa kuwathibitishia watu kiuwa ni mbaya na si kusema tuu
Wewe acha kumkejeli rais, hujui ana wataalam na washauri wa kutosha! Ebooo.....
 
Kama juhidi za ziada hazita chukuliwa, Wazee wetu, walio kwenye tiba/dozi za kisukari, presha, kansa n.k ni ngumu sana ku survive ktk kipindi hiki
 
Mbona walienda komoro harakaharaka Na hatujambiwa effectiveness ya ile dawa?
 
Wasalaam wana jamvi.

Wanajamvi wasalaam, bila shaka kila mtu anajua fika kabisa kuwa janga la Corona limeathiri dunia na uchumi wa dunia kwa ujumla kabisa.

Na ni wazi kabisa Tanzania tuna Neema ya kipekee sana kwani ugonjwa huu haujawa na atahari kubwa kama nchi nyingine za wenzetu
Na katika hili kila Mtanzania ana haki na wajibu wa kumshukuru Mungu.

Lakini hivi karibuni kumekuwepo na taarifa ya za kupatikana kwa chanjo ambayo pengine kwa nchi za Ulaya inatarajiwa kutolewa kama sio January basi ni December.

Ukweli ni kwamba kama chanjo zinazo tajwa zitafanikiwa basi litakuwa jambo jema na tutamshukuru Mungu pia....
Ni lazima tujua kuwa chanjo ni kinga kwa hiyo kama zitafanikiwa kuzuia ugonjwa huo basi litakuwa jambo jema kabisa kwa Dunia nzima.

Lakini katika hili la chanjo naipongeza serikali kuto harakisha kuagiza kwa chnjo hiyo kabla hata haijaanza kutumika uko ulaya na marekani kwani kumekuwa bado na mjadala kuhusu uhakika hizo chanjo kwa hiyo kujipa muda ni jambo jema.

Lakini napingana naserikali kusema kuwa haito agiza chanjo wakati ugonjwa huu haijaweza kuupatia dawa au chanjo yake hapa nchini na litakuwa jambo la ajabu sana kukataa chanjo wakati bado Tanzania ina muingiliano wa kila aina ya watu wa mataifa mbalimbali duniani.

Lazima tukubali kuwa kama kuna chanjo ambayo itathibitika ina ufanisi dhidi ya CORONA ni lazima itaagizwa kwa kutaka au kutotaka kwani tanzania sio kisiwa cha peke yake.

Kama tuna jipanga kukataa chanjo dhidi ya Corona ni lazima tuhuthibitishie ulimwengu kuwa tunayo chanjo yetu ambayo ina ufanisi kuliko zao na ni ni kwa jinsi gani hatuwezi kupata Corona hata tukikutana na mwenye Corona.

Watanzania wanatakiwa kujua kutokuwa na Corona hauwezi kuwa ndio utetezi wa kutokuagiza chanjo.
Watanzania tuna chanjo nyingi sana ambazo zimekuwa zikitolewa kila leo na hatujawai kuzikataa na nina hakika hata hizo zote tulijipa muda kabla ya kuagiza.

Bado naamini hata chanjo ya Corona ni muhimu kwa tanzania na watanzania na ni vyema serikali ikaendelea kutafakari lakini lazima ijue kuwa kuagiza chanjo ya Corona hakuto zuilika kama itathibitika pasi na shaka ambazo zilizo tengenezwa zimwkuwa na ufanisi mkubwa sana kwa binadamu dhidi ya Corona.

Wasalaaam
Hakuna aliyesema chanjo zisiingie!
Alichosema Rais ni kwamba wizara ya afya isikimbilie kuleta chanjo bila kujirizisha kama zinafaa
Kama hukuelewa, muulize aliyeelewa, siyo unakimbilia kupositi uongo
 
Imagine karne ya 21 inakuwa na Rais wa ajabu kiasi hiki!
10127164032.jpg
 
Back
Top Bottom