mgen
JF-Expert Member
- Nov 18, 2010
- 22,631
- 8,417
Ili kuonyesha Dunia kwamba utawala wako unafuata sheria, bila shaka yeyote na una lengo la maridhiano ya kitaifa; Na kilicho tokea Arusha wewe huhusiki bali ni wahuni wachache Waliofanya hayo bila ridhaa yako. Basi fanya haya yafuatayo utavuna Heshima na utakumbukwa na vizazi vijavyo;
1-Waite wadau wote wakiwemo wanasiasa pamoja na mambo mengine na hatma ya nchi yetu, mjadili pia kilicho jiri Arusha hadi wananchi wakapoteza maisha yao adimu Kisha mfikie maridhiano na muanze upya!
2-Waadhibu wote walio husika na kadhia hiyo kwa mujibu wa sheria ya nchi
3-Andaa maandamano nchi nzima siku hiyo ya maandamano mshikane mikono wanasiasa wote! na Dunia ione ili kulaani matukio yote yaliyo jiri Arusha na ya kabla yake mf, pemba m/chai na wahanga wote walio poteza maisha kwa sababu za KIFISADI
4-Andaa/tangaza tarehe ya kuanza mkutano wa katiba mpya ili wananchi wapate katiba yenye ridhaa yao!
Kweli ni dawa lakini ni chungu maana MBINGU NA NCHI ZITAFURAHI Waswahili husema KICHUNGU HUONJWA IMA USIPOJENGA UFA UTAJENGA NYUMBA!
1-Waite wadau wote wakiwemo wanasiasa pamoja na mambo mengine na hatma ya nchi yetu, mjadili pia kilicho jiri Arusha hadi wananchi wakapoteza maisha yao adimu Kisha mfikie maridhiano na muanze upya!
2-Waadhibu wote walio husika na kadhia hiyo kwa mujibu wa sheria ya nchi
3-Andaa maandamano nchi nzima siku hiyo ya maandamano mshikane mikono wanasiasa wote! na Dunia ione ili kulaani matukio yote yaliyo jiri Arusha na ya kabla yake mf, pemba m/chai na wahanga wote walio poteza maisha kwa sababu za KIFISADI
4-Andaa/tangaza tarehe ya kuanza mkutano wa katiba mpya ili wananchi wapate katiba yenye ridhaa yao!
Kweli ni dawa lakini ni chungu maana MBINGU NA NCHI ZITAFURAHI Waswahili husema KICHUNGU HUONJWA IMA USIPOJENGA UFA UTAJENGA NYUMBA!