emanuel mushi
Member
- Aug 14, 2015
- 19
- 9
Mh Rais Jakaya Mrisho Kikwete umefanya mengi "mazuri" jitahidi kufanya hili;
Iweke sawa Tume ya Uchaguzi wewe wajua. Pia weka Majeshi yetu yote sawa wewe wajua.
Hivi vyombo visitumiwe kwa NAMNA YOYOTE kukisaidia chama chochote katika Uchaguzi Mkuu ulio mbele yetu.
Kumbuka Mungu wetu Alieziumba Mbingu na Nchi anakutazama wewe kwanza utawasaidiaje Watu wake Unao-waongoza wasipoteze pamoja na mambo mengine UHAI wao.
Najua Unajua kua kila Mtu atasimama peke yake siku ya Ukumu. Mh Una Jaribu (Mtihani) Mkubwa sana, ila jitahidi na Mungu atakusaidia.
Amen!
Iweke sawa Tume ya Uchaguzi wewe wajua. Pia weka Majeshi yetu yote sawa wewe wajua.
Hivi vyombo visitumiwe kwa NAMNA YOYOTE kukisaidia chama chochote katika Uchaguzi Mkuu ulio mbele yetu.
Kumbuka Mungu wetu Alieziumba Mbingu na Nchi anakutazama wewe kwanza utawasaidiaje Watu wake Unao-waongoza wasipoteze pamoja na mambo mengine UHAI wao.
Najua Unajua kua kila Mtu atasimama peke yake siku ya Ukumu. Mh Una Jaribu (Mtihani) Mkubwa sana, ila jitahidi na Mungu atakusaidia.
Amen!