utaifakwanza
JF-Expert Member
- Feb 1, 2013
- 14,193
- 2,812
Nampongeza kikwete kwa kuingilia kati suala hili
taarifa nilizonazo kutoka mtu wa jirani na IGP ni kuwa yeye alikataa kuongezewa muda.Sababu kubwa ni hapendi lawama 2015 maana wanajua lolote linaweza kutokea. JK kapata wakati mgumu kumteua IGp mpya mgeni kwa kipindi kilichobaki mpaka 2015 ni kidogo na ingeweza kutokuwa rahisi kukubaliana na mipango CCM wanayotaka kuifanya ikiwepo kuhujumu upinzani na uchaguzi kwa GHARAMA yoyote ile. Kingine ni jeshi la polisi limeparaganyika na hivyo hakuna siri tena zinazotunzwa, hakuna mtu anamwamwini mweziwe katika top figures.
Watu wengine huwa ni vichwa maji kweli kweli. Polisi wakitaka ushahidi wanasema wanataka wauchakachue! Raisi akitaka ushahidi wanasema ze Komedi. Jamani, Hata wakati wa kuomba kazi si unapeleka copy za CV kisha Origino unabaki nazo?? Sasa nani anaweza kuchakachua CV zako??. Dhamira nzuri hujenga. Lakini moyo ukiopinda na akilimaji huwaza kinyume!
mlijidai asikanyage Arusha, nae kukuonesheni ni Born Town alipofika Arusha akafanya Joging Mitaani Jion akashangaa kila akikatisha watu wanamshangilia, Nyota ya Jakaya haififishwi kwa maji chumvi,
Kama kweli anao (kama alivyo jitapa) si apeleke! Asipo fanya hivyo basi ashtakiwe kwakutudanganya wanchi.
mkuu hizi ni taarifa sahihi au udaku wa mtaani?
Huyu igp mwema anayo ya kujibu mengi tu hata akijiuzulu kabla ya 2015 damu za watanzania zilizo kwenye mikono yake hazihesabiki
mh.rais amtaka mh. Mbowe apeleke video ya ushahidi ikulu! Sijui afanyie nini! Ushahidi wa marehemu mwangosi,ulimboka,orodha ya wauza unga,waliochinjwa kama kuku sehemu mbalimbali mbona hawakutaka ushahidi. Tanzania na ugaidi wapi na wapi?! Haya mauaji yamefanywa na nyie wenyewe kutokana na kauli za nape tena akatuma hadi sms na mwigulu. Mkuu rudi tu home ushaidi utaenda mahaka huru au unda tume yako. Source eat radio
Jk anafanya kazi kubwa sana ya kupigania amani ya nchi ila kuna magaidi wachache wanalazimisha shari
Mh.Rais amtaka Mh. Mbowe apeleke video ya ushahidi Ikulu! sijui afanyie nini! Ushahidi wa marehemu Mwangosi,Ulimboka,orodha ya wauza unga,waliochinjwa kama kuku sehemu mbalimbali mbona hawakutaka ushahidi. tanzania na ugaidi wapi na wapi?! haya mauaji yamefanywa na nyie wenyewe kutokana na kauli za nape tena akatuma hadi sms na mwigulu. mkuu rudi tu home ushaidi utaenda mahaka huru au unda tume yako. Source eat radio
Kama ni uongo mbona sasa huyo mwenyekiti wa ccm amekubali kudanganywa?Yeye huo ushahidi apeleke hata the hague uholanzi kama anao na sijui kautoa wapi,yeye anafanya mchezo wa kucheza na akili za watu hasa kwa wasiomjua mbowe atawadanganya sana.ila ukimjua hutatapata shida.