frema120
JF-Expert Member
- Jan 1, 2012
- 5,099
- 1,338
Habari wajf?
Mh. Waziri Maji naomba kukuuliza swali dogo tuuu.. natambua unamiliki mabasi ya KIDIA ONE kwa 100% ni mengi sana na makubwa, ingawa wewe umeyaita jina la mzee kidia wa mwanga
Je pesa zote hizi umezitoa wapi za kununulia mabasi haya yote? Nikitambua pato lako haliwezi kabisa kununua mabasi haya, je watanzania tutapata maji kila kijiji/kata?
Nawasilisha wakuu, kwani huyu mzee ni mwizi mbaya.
Mh. Waziri Maji naomba kukuuliza swali dogo tuuu.. natambua unamiliki mabasi ya KIDIA ONE kwa 100% ni mengi sana na makubwa, ingawa wewe umeyaita jina la mzee kidia wa mwanga
Je pesa zote hizi umezitoa wapi za kununulia mabasi haya yote? Nikitambua pato lako haliwezi kabisa kununua mabasi haya, je watanzania tutapata maji kila kijiji/kata?
Nawasilisha wakuu, kwani huyu mzee ni mwizi mbaya.