Tetesi: Mh Polepole kuna 100% aweza kamata jiji....

TumainiEl

JF-Expert Member
Jan 13, 2010
6,182
11,199
Upo uwezekano Amiri jeshi mkuu akafanya mabadiliko ktk mkoa fulani mkubwa na ili kufanya maisha yasiwe mabaya kwakusema vijana wameshindwa a genius men Polepole aweza chukua mkoa hii yaweza kuwa siri kubwa ila alama zinaonyesha machinjio yamesha andaliwa yanasubiri mambo fulani yapite then kazi imalizike.
Hapa kazi Tu....
 
mkoa maarufu jijini ni mfupa uliowashinda wengi. wapo magius waliopitia mji huo, hata siku moja, Huwezi kuchezea roho yako kufanya majaribio. Lazima steling afe movie iishe
 
Upo uwezekano Amiri jeshi mkuu akafanya mabadiliko ktk mkoa fulani mkubwa na ili kufanya maisha yasiwe mabaya kwakusema vijana wameshindwa a genius men Polepole aweza chukua mkoa hii yaweza kuwa siri kubwa ila alama zinaonyesha machinjio yamesha andaliwa yanasubiri mambo fulani yapite then kazi imalizike.
Hapa kazi Tu....
......genius MEN Polepole.... mi mgeni hapa
 
Jamaa anamvuto wa kisiasa hanapapara upinzani upo tayari kupiga mzigo nae sasa Rais hawezi vumilia taharuki wanazo fanyiwa wana nchi kwa kubeba mtu.....
 
Jamaa anamvuto wa kisiasa hanapapara upinzani upo tayari kupiga mzigo nae sasa Rais hawezi vumilia taharuki wanazo fanyiwa wana nchi kwa kubeba mtu.....
Mmeanza kugundua kuna mtu anazusha taharuki kila siku, matamko utadhani rappa

Sijawahi muona wala msikia jamaa akiongea kwa uso wa bashasha siku zote uso mkavu
 
JPJM bado hatabiriki kwa sasa. Akifanya mabadiliko kama hayo atafanya jiji kuongozwa kwa ustaarabu na hekima zaidi; lakini hata asipofanya mabadiliko hayo Makonda atawekewa gavana na halmashauri ya jiji.
 
Ishara za nyakati zinaonyesha Mzee Polepole kupewa jiji.Makonda out.
 
Hivi muanzisha thread, unahisi MAGUFULI atafanyia kazi jungu lako dhidi ya RC MAKONDA?
Mission anayofanya makonda ni maalum kuliweka jiji katika hali ya usmart.
Jiji kwa miaka mingi limekua la mpangilio wa hovyo, omba omba wenye uwezo wa kufanya kazi, biashara holela kwenye mabarabara kiasi hata kuleta kero kwa watumiaji wa barabara, vibaka mwanzo mwisho.
Sasa ni Muda wa jiji kupangika kistarabu.
Siasa uchwra na majungu hayana nafasi tena kwa MAGUFULI ni PERFORMANCE tu.
Pia kumsakama makonda ni kumpandisha rank, kwani mkulu yupo ana watch jinsi dose inavyowaingia
 
Back
Top Bottom