tokea ushike wadhifa wako mwaka 2008, nimekuwa nikifuatilia utendaji wako wa kazi hususani ziara za kuhamasisha maendeleo na kuwaamsha watendaji waliolala huko mikoani na mawilayani. nilichogundua ni kwamba umejikita zaidi kutembelea katavi na rukwa. ni ukweli usiofichika kuwa hauwezi kaa miezi miwili bila kufanya ziara katika mikoa niliyoitaja. lakini hali imekuwa tofauti kwa mikoa ya lindi na mtwara kwani sikumbuki ni lini hasa ulitembelea mikoa hii.
kumbuka wewe ni waziri mkuu wa nchi yote, hivyo yakupasa utende haki kwa maeneo yote
kumbuka kusini tulishatoa rais lakini hakufanya upendeleo, alitenda haki kwa wote
ni hayo tu.
kumbuka wewe ni waziri mkuu wa nchi yote, hivyo yakupasa utende haki kwa maeneo yote
kumbuka kusini tulishatoa rais lakini hakufanya upendeleo, alitenda haki kwa wote
ni hayo tu.