Philipo Kidwanga
JF-Expert Member
- Jul 12, 2012
- 2,042
- 599
utabidi vipi wakati tayari ni chizi.Ukiwa gamba inabidi uwe chizi hata kama huokoti makopo,nadhani safari hii hata mtwara na songea watasema ni kaskazini.....wanalo na laana yao mkuu.
utabidi vipi wakati tayari ni chizi.Ukiwa gamba inabidi uwe chizi hata kama huokoti makopo,nadhani safari hii hata mtwara na songea watasema ni kaskazini.....wanalo na laana yao mkuu.
Hivi nyinyi mmeiamini hii habari?
mmeacha sema Kilimanjaro?mlikwenda pia na arusha,baadaye mbeya, baadaye sijui mtasema dar kwa vile napo wana ushawishi mnono.soon moro,bila kusahau iringa walipobidi muua mwangonja.
Waziri Mkuu akisema CCM oyee au Pipooz au Hakiii, mimi nadhani ni sawa tu.
Ritz, Rejao, Mafilili, Zomba and three others does not like this !!!
Mbona wewe hukuweka Audio ya milio ya bunduki za polisi kule Madale?Weka Audio na sisi tusikilize kama alikuja kwenye ziara ya serikali CCM hoyee ilitoka wapi? na Pipooooz power ilitoka wapi?
Bado sijakuelewa labda nisikilize mimi mwenyewe audio.
Hivi nyinyi mmeiamini hii habari?
Kwa navyomjua mtu aliyefilisika kisera, atakachosema this time ni kwamba Mwanza ni Kaskazini
Ritz, Rejao, Mafilili, Zomba and three others does not like this !!!
Kwahiyo maendeleo ya nchi kwako ni maandamano ya toka uchaguzi hadi uchaguzi yanayosababisha mauaji kwa watanzania sio??
Watanzania wanahitaji sera zenye kuleta maendeleo kwao na sio kutangaza siasa za chuki na maandamano ya kila siku yasiokuwa na tija, badala yake kusababisha mauaji ya watanzania wasio na hatia. Au wewe unafaidika na vifo vya watanzania nini, kwamba akiuliwa mtanzania na polisi kwako ni nafasi ya kujizolea umaarufu kwa kuishutumu serikali!!!!
I don't understant u guys taking "pipoz powa"!
Kwani wewe ulihudhulia kwenye huo mkutano?Mbona unapotosha watu?Peoples power aliitoa bt c kwa 7bu ya kutosikilizwa bali ni kwa kejeli za wa2 waliokuwa wamenunuliwa viroba na (Mb) wa jimbo hilo.Kumbe kuna watu humu hawajui hata maana ya propaganda. Yani hata mtu akishuhudia kitu halisi kwa macho ama masikio yake, bado anasema ni propaganda, Daaaah...!
Nilijua tu kuwa utatukana, na upeo wako mdogo wa kutafakari lazima ungekutuma niamini upuuzi wako unaoufikiria. Watanzania wenzangu mmeona hawa wanaojiita great thinkers , kumbe ni CDM thinkers, teh teh teh teh, twende tu hivi hivi hata CDM wakichukua nchi kutokana na upeo wenu mdogo wa kukubali kila jambo.