Elections 2010 Mh. Philip marmo na dr mary nagu wapumulia mashine mkoa wa manyara

MAMA B

Member
Nov 1, 2010
29
0
Wilaya ya mbulu ambako ndio yuko waziri marmo mpaka sasa kati ya kata 32 tayari chadema wana kata 19 mfukoni na ndio tunasubiri huko kwingine!


Upande wa hanang ambako ndio yuko waziri nagu tayari nusu ya kata zote zimeshachukuliwa na mke wa zamani wa slaa kwa chadema ......bado kata za vijijini tunasubili matokea

UPANDE WA RAIS TANZANIA NZIMA SIJUI KAMA JAMAA ATAKUBALI KUACHIA NCHI KAMA AKIPELEKEWA MATOKEO TOFAUTI NA ANACHOTEGEMEA...........IKULU TAMU JAMANI!

source;wadau wa karibu walio huko
 
Wilaya ya mbulu ambako ndio yuko waziri marmo mpaka sasa kati ya kata 32 tayari chadema wana kata 19 mfukoni na ndio tunasubiri huko kwingine!

Upande wa hanang ambako ndio yuko waziri nagu tayari nusu ya kata zote zimeshachukuliwa na mke wa zamani wa slaa kwa chadema ......bado kata za vijijini tunasubili matokea

source;wadau wa karibu walio huko

Kwani huyo mtu yupo chadema, si alichukuliwa na ccm!
 
Wilaya ya mbulu ambako ndio yuko waziri marmo mpaka sasa kati ya kata 32 tayari chadema wana kata 19 mfukoni na ndio tunasubiri huko kwingine!

Upande wa hanang ambako ndio yuko waziri nagu tayari nusu ya kata zote zimeshachukuliwa na mke wa zamani wa slaa kwa chadema ......bado kata za vijijini tunasubili matokea

source;wadau wa karibu walio huko

Kama kweli wananchi wameshaamka kisiasa na kidemokrasia basi Marmo na dada yake Mary hawana budi kupumzishwa. Hawajafanya maendeleo ya maana huko, yaani majimbo yao ni mateso makubwa sana!! Wao wako mjini wanaishi maisha ya raha mustarehe ila wapiga kura hoi, yaani ukiona hizo nyumba zao hali ni mbaya, mtu unatamani banda lako la mifugo Dar ulibebe upeleke huko walale!! For how many years CCM has been into Power lakini hali ya maisha ni duni siku hadi siku?
 
:sad:
Wilaya ya mbulu ambako ndio yuko waziri marmo mpaka sasa kati ya kata 32 tayari chadema wana kata 19 mfukoni na ndio tunasubiri huko kwingine!


Upande wa hanang ambako ndio yuko waziri nagu tayari nusu ya kata zote zimeshachukuliwa na mke wa zamani wa slaa kwa chadema ......bado kata za vijijini tunasubili matokea

UPANDE WA RAIS TANZANIA NZIMA SIJUI KAMA JAMAA ATAKUBALI KUACHIA NCHI KAMA AKIPELEKEWA MATOKEO TOFAUTI NA ANACHOTEGEMEA...........IKULU TAMU JAMANI!

source;wadau wa karibu walio huko
 
Back
Top Bottom