Kaveli
JF-Expert Member
- Dec 4, 2012
- 5,120
- 8,140
Heshima kwenu wanaJF wote.
Poleni kwa majukumu ya kila siku ndani ya gurudumu la 'hapa kazi tu' linalopaa kwa mwendo kasi, japo limejaa 'chenga za Pele'! Inshaallah life goz'on kimazabe.
Current guidelines ya HESLB juu ya utoaji wa MIKOPO inaeleza kwamba ni lazima muombaji, pamoja na vigezo vingine, awe kwanza ameshapata ADMISSION ya chuo.
Nanukuu kutoka kwenye guideline hiyo: ''Applicant must have been admitted to an accredited Higher Education Institution, as a candidate for Undergraduate Degree or Postgraduate Degree on full time basis, through the Central Admission System (CAS) or other accepted systems, in programmes recognized by TCU and NACTE.''
Na kwa mujibu wa tovuti ya HESLB, uombaji wa mkopo ulifunguliwa wazi kuanzia tarehe 27 Juni 2016 hadi tarehe 31 Julai 2016 .
CHA KUSHANGAZA SASA, mpaka leo hii tarehe 20 Julai 2016 (only 10 days towards the deadline ya HESLB), bado NACTE hawajatoa selection ya waliopata admissions (wale waliofanya applications hivi majuzi)! TCU nao pia hata kufungua application process tu bado!
Hii inamaanisha nini, watu waombe mikopo kabla ya kujua admission status zao? Yaani mtu akamuliwe Tsh. 30,000 ya Loan Application Fee (non-refundable) wakati hajajua au hana uhakika wa Admission ya chuo??!!
NACTE, TCU, HESLB... acheni hii janja ya kuwaibia wananchi. HESLB should extend the deadline ili kusubiri NACTE/TCU kutoa Admissios. Hizi ni taasisi ambazo zina closer linkage kwenye utendaji, lakini inashangaza sana wana-operate utadhani kila taasisi ipo sayari tofauti ama wanashirikiana kimkakati 'kuwapiga' wananchi. shame! Acheni huu utapeli nyie watu, au nalo hili mnangojea mpaka Rais Magufuli aseme??!!
Mama Ndalichako, tafadhari sana mkuu, rekebisheni hiki kitu!
Watanzia wengi ni masikini, ifike mahali tukemee huu upuuzi wa hizi taasisi zetu. Huu ni wizi kabisa na unyonyaji wa hali ya juu! Watanzania sijuwi tumerogwa na nani sie !
Hili ni moja ya maajabu ambayo mara nyingi sana hunifanya nijiulize kwamba... je hapa duniani, kuna nchi nyingine yenye maajabu kama Tanzania ? Huwa nachoka sana!
-Kaveli-
Poleni kwa majukumu ya kila siku ndani ya gurudumu la 'hapa kazi tu' linalopaa kwa mwendo kasi, japo limejaa 'chenga za Pele'! Inshaallah life goz'on kimazabe.
Current guidelines ya HESLB juu ya utoaji wa MIKOPO inaeleza kwamba ni lazima muombaji, pamoja na vigezo vingine, awe kwanza ameshapata ADMISSION ya chuo.
Nanukuu kutoka kwenye guideline hiyo: ''Applicant must have been admitted to an accredited Higher Education Institution, as a candidate for Undergraduate Degree or Postgraduate Degree on full time basis, through the Central Admission System (CAS) or other accepted systems, in programmes recognized by TCU and NACTE.''
Na kwa mujibu wa tovuti ya HESLB, uombaji wa mkopo ulifunguliwa wazi kuanzia tarehe 27 Juni 2016 hadi tarehe 31 Julai 2016 .
CHA KUSHANGAZA SASA, mpaka leo hii tarehe 20 Julai 2016 (only 10 days towards the deadline ya HESLB), bado NACTE hawajatoa selection ya waliopata admissions (wale waliofanya applications hivi majuzi)! TCU nao pia hata kufungua application process tu bado!
Hii inamaanisha nini, watu waombe mikopo kabla ya kujua admission status zao? Yaani mtu akamuliwe Tsh. 30,000 ya Loan Application Fee (non-refundable) wakati hajajua au hana uhakika wa Admission ya chuo??!!
NACTE, TCU, HESLB... acheni hii janja ya kuwaibia wananchi. HESLB should extend the deadline ili kusubiri NACTE/TCU kutoa Admissios. Hizi ni taasisi ambazo zina closer linkage kwenye utendaji, lakini inashangaza sana wana-operate utadhani kila taasisi ipo sayari tofauti ama wanashirikiana kimkakati 'kuwapiga' wananchi. shame! Acheni huu utapeli nyie watu, au nalo hili mnangojea mpaka Rais Magufuli aseme??!!
Mama Ndalichako, tafadhari sana mkuu, rekebisheni hiki kitu!
Watanzia wengi ni masikini, ifike mahali tukemee huu upuuzi wa hizi taasisi zetu. Huu ni wizi kabisa na unyonyaji wa hali ya juu! Watanzania sijuwi tumerogwa na nani sie !
Hili ni moja ya maajabu ambayo mara nyingi sana hunifanya nijiulize kwamba... je hapa duniani, kuna nchi nyingine yenye maajabu kama Tanzania ? Huwa nachoka sana!
-Kaveli-