Yericko Nyerere
JF-Expert Member
- Dec 22, 2010
- 16,985
- 20,263
Watachana vinavyooneka lakini visivyoonekana kamwe havitachanwa na vitatumika kuwaondoa madarakani 2015!
nyie hamuon mnavyotafta umaaruf tena in a cheap way,hiyo ni kaz yake ukikosa cha kuandika funga domonipe nape nape nape nape nape! (CCM wanakauli mbiu yao labda niikope) ANATAFUTA UMAARUFU
nimeipenda ndoto yakoWatachana vinavyooneka lakini visivyoonekana kamwe havitachanwa na vitatumika kuwaondoa madarakani 2015!
Mkuu huyu ni Mheshimiwa,kumbuka kuwa huyu bado ni Mkuu wa Wilaya kwa hiyo uheshimiwa bado uko palepale.Toka lini nape kawa mheshimiwa!
Au siujui maana ya mheshimiwa?
Hivi kuna uhusiano wowote wa ccm na vitambi???
Hivi kuna uhusiano wowote wa ccm na vitambi???
Kumbe na wewe uliyaona?hiyo inaashiri namna gani wasivyopenda ukweli!wanabaki kujifariji kwa mijikofia na mifulana tu!Baada ya kuona kundi la watu wapatao 10 wakiwa wamebeba mabango yenye jumbe mbalimbali nyingi zikewa ni kejeli kwa ccm vijana wanaitwa green brigade waliwavamia watu na kuwanyanganya mabango yao na mengine kuchanwa kama inavyoonekana kwenye picha. Sasa swali ni je ccm inajua misingi ya demokrasia? Kwa hayakuwa matusi kwanini mhe. Nape asingechukua ushauri aliopewa kupitia mabango. Kwani moja ya bango lliandikwa hivi "hatutaki story za gamba tunataka umeme " tutakaa giza mpaka lini" ccm ilikufa na nyerere
waziri wa viwanda na biashara Chami akikebehi kuwa anawashauri wale wote wanaoandamana kudai maisha bora waende SIDO wapate ujuzi sijui wa nn? QUOTE]
Huyu Chami kukebehi maandamano ni unafikia wa hali ya juu. Yeye mwenyewe alikuwa kiongozi wa migomo chuo kikuu Dar es Salaam na ndio waliosababisha kukawa na 'GAP' ya kusubiri mwaka mmoja ndio uingie chuo. Huyu alifukuzwa na kwa mwaka mzima. Sasa leo anatoa wapi moral authority watu wanaoandamana wakati yeye na migomo ni kama chanda na pete? ufaniki mtupu!
Cdm ni zaid ya mafia
Wewe ni Munishi nini?
[video]http://www.youtube.com/user/gospelgtv?blend=1&ob=5#p/u/0/-k3asX6VDAQ[/video]