Mh Nape alipowasili tu Moshi Mjini alikutana na mabango, yakachanwa hadharani

MARUMA J

Member
Jun 10, 2011
48
9
moshi-nape.jpg


Baada ya kuona kundi la watu wapatao 10 wakiwa wamebeba mabango yenye jumbe mbalimbali nyingi zikewa ni kejeli kwa ccm vijana wanaitwa green brigade waliwavamia watu na kuwanyanganya mabango yao na mengine kuchanwa kama inavyoonekana kwenye picha. Sasa swali ni je ccm inajua misingi ya demokrasia? Kwa hayakuwa matusi kwanini mhe.

Nape asingechukua ushauri aliopewa kupitia mabango. Kwani moja ya bango lliandikwa hivi "hatutaki story za gamba tunataka umeme " tutakaa giza mpaka lini" ccm ilikufa na nyerere
 

Attachments

  • DSC04527.JPG
    DSC04527.JPG
    926.2 KB · Views: 670
nipe nape nape nape nape nape! (CCM wanakauli mbiu yao labda niikope) ANATAFUTA UMAARUFU
 
hawajui kuwa mioyoni mwa watu muna mabango ya kila aina yanasomeka ??? au nayo wameamua kuyachana kwa kuwanyima haki za msingi Mimi nigekuwa nape ningejibu kila bango kwa mtazamo chanya
 
Nawaunga mkono waungwana Nape siyo mheshimiwa hata kidogo, na tena ndugu zangu nawambieni kijana huyu ametumia majukwaa sana kuuza jina lakn hatafika mbali. Mi siyo nabii ila nayatabiri mambo.
 
View attachment 34383baada ya kuona kundi la watu wapatao 10 wakiwa wamebeba mabango yenye jumbe mbalimbali nyingi zikewa ni kejeli kwa ccm vijana wanaitwa green brigade waliwavamia watu na kuwanyanganya mabango yao na mengine kuchanwa kama inavyoonekana kwenye picha. Sasa swali ni je ccm inajua misingi ya demokrasia? Kwa hayakuwa matusi kwanini mhe. Nape asingechukua ushauri aliopewa kupitia mabango. Kwani moja ya bango lliandikwa hivi "hatutaki story za gamba tunataka umeme " tutakaa giza mpaka lini" ccm ilikufa na nyerere

kama ni vijana basi ni mazoba hao, enzi za ujana wangu nilikuwa sikosi mayai visa mfukoni. Hao waliochana wangeipata fresh
 
sasa hawa sisiem wanakuwa vichaa au majambazi au vyote kwa pamoja??? sijui
 
Back
Top Bottom