Kwako MWIGULU MCHEMBA Naibu katibu mkuu Ccm bara. Nikupongeze kwanza kwa hatua yako ya kukiri kuhusika na Video ya Kutengeneza dhidi ya Mkuu wa Usalama na ulinzi CDM ndugu WILFRED LWAKATARE.
Pili nikukumbushe tu machache uliyoyafanya dhidi ya CDM na viongozi wake ktk "JITIHADA" zako za Kuihujumu chama hiki Kikuu cha Upinzani ktk Kukipaka matope na Kuitakia mabaya.
Baada ya Uchaguzi wa Igunga 2011 wewe na wenzio mlimuua na kumtupa porini mfuasi na mwanachama wa CDM mkazi wa Dar es salaam.
Mwaka 2012 baada ya uchaguzi wa Arumeru mashariki ulishiriki mipango ya kumuua mwenyekiti wa CDM kata ya Usa riva. Mwaka huohuo 2012 mwishoni ukiwa ktk kituo cha STAR TV kinachorusha matangazo yake jijini mwanza ulidai kwamba unao Mkanda wa Video unaowaonyesha Viongozi wa CDM wakipanga kuteka na kuuwa watu.
Miezi michache baadae Mwenyekiti wa Wahariri Absalom Kibanda alitekwa na kupigwa na kuumizwa vibaya hadi kupoteza jicho lake moja.
Baada ya Mpango wako kukamilika ndipo ikaibuka na Video yako ya Lwakatare,na Polisi bila kukuhoji wewe kama Mtuhumiwa wa kwanza wakakurupuka na LWAKATARE na kumpa Kesi ya UGAIDI.ukachekelea sana na Majuha wenzako.
Kumbuka ulisema unao ushahidi na hata kama ni MBINGUNI upo tayari kuutoa.Tunasubiri maana MUNGU ni wa haki
Lwakatare alikaa Mahabusu kwa zaidi ya miezi 3 hadi alipofutiwa mashtaka matatu ya Ugaidi na kubakiwa na moja na hatimae kupewa dhamana..Cha ajabu wewe unaehusika na uliesema una mkanda na ukauweka mitandaoni upo huru ukiendelea kuhujumu CDM na kupoteza maisha ya watu wasio kua na hatia.
Ktk Vikao vya Bunge vilivyopita na vinavyoendelea sasa umekua ukiendelea na Harakati na hujuma zako dhidi ya CDM hali iliyosababisha wabunge 6 wa CDM kusimamishwa kuhudhuria vikao vitano vya bunge.
Ktk uchaguzi mdogo wa Madiwani uliokua unafanyika ktk kata 26 uliendelea na Mbinu zako chafu na siasa za Maji Taka dhidi ya CDM kwa kumtembeza Majukwaani MUSA KIJANA "TAAHIRA"alie athirika Kisaikolojia baadaya kumwagiwa Tindikali kwa Mipango yako kule Igunga, na kuelezea watu kuwa waliomfanyia vile ni CDM.
Haikuishia hapo siku mbili kabla ya Uchaguzi wa Madiwani ukiwa Ktk kata ya Kimandolu moja ya kata nne zilizokua zikifanya ichaguzi jijini Arusha uliwaambia watu kuwa wasipoichagua CCM wataendelea kufa kwani CDM ni chama cha Vurugu.
Siku moja kabla ya Uchaguzi,baada ya kuona mmezidiwa na CDM pamoja na Ccm kuwatumia baadhi ya Mawaziri ktk mikutano yao bila mafanikio ndipo tena chini ya Mipango yako mkaamua kupiga Bomu ktk hitimisho la mkutano wa CDM ili tu uchaguzi uahirishwe kwa kile kinachodaiwa kua hadi Amani itakapo rejea.
Tangia juzi ilipotokea tukio hilo sio watu wa kawaida sio polisi wanakuhusisha na tukio hilo. Yamkini ktk hili la Bomu huusiki moja kwa moja lakini Mtiririko wa Mauaji ya Igunga,Usa riva,Ndago Singida, Video ya Lwakatare na sasa Bomu Arusha yananifanya nikuhusishe.
Mh Mwigulu CDM ni mpango wa MUNGU na wewe kujitahidi kwa Hila kuzuia Mipango ya Mungu matokeo yake yatakua mabaya sana kwako. Leo hii ninaamini kwamba baada ya uchaguzi huu kusimamishwa na kuwa utafanyika tena tar 30,huna tena hamu wala Ujasiri wa Kusimama ktk jukwaa la siasa hapa Arusha na kuihusisha CDM na Upuuzi uliouzoea.
Wana Arusha wa CCM,CUF,TLP,NCCR na CDM hawataki hata kusikia jina lako.kwa Mtaji huu ndio kabisa UMEIZIKA CCM Jijini Arusha.
Kumbuka kuwa SIKU ZOTE MWISHO WA UBAYA NI AIBU.
Chadema ni mpango wa Mungu kuizuia hutaweza.
Pili nikukumbushe tu machache uliyoyafanya dhidi ya CDM na viongozi wake ktk "JITIHADA" zako za Kuihujumu chama hiki Kikuu cha Upinzani ktk Kukipaka matope na Kuitakia mabaya.
Baada ya Uchaguzi wa Igunga 2011 wewe na wenzio mlimuua na kumtupa porini mfuasi na mwanachama wa CDM mkazi wa Dar es salaam.
Mwaka 2012 baada ya uchaguzi wa Arumeru mashariki ulishiriki mipango ya kumuua mwenyekiti wa CDM kata ya Usa riva. Mwaka huohuo 2012 mwishoni ukiwa ktk kituo cha STAR TV kinachorusha matangazo yake jijini mwanza ulidai kwamba unao Mkanda wa Video unaowaonyesha Viongozi wa CDM wakipanga kuteka na kuuwa watu.
Miezi michache baadae Mwenyekiti wa Wahariri Absalom Kibanda alitekwa na kupigwa na kuumizwa vibaya hadi kupoteza jicho lake moja.
Baada ya Mpango wako kukamilika ndipo ikaibuka na Video yako ya Lwakatare,na Polisi bila kukuhoji wewe kama Mtuhumiwa wa kwanza wakakurupuka na LWAKATARE na kumpa Kesi ya UGAIDI.ukachekelea sana na Majuha wenzako.
Kumbuka ulisema unao ushahidi na hata kama ni MBINGUNI upo tayari kuutoa.Tunasubiri maana MUNGU ni wa haki
Lwakatare alikaa Mahabusu kwa zaidi ya miezi 3 hadi alipofutiwa mashtaka matatu ya Ugaidi na kubakiwa na moja na hatimae kupewa dhamana..Cha ajabu wewe unaehusika na uliesema una mkanda na ukauweka mitandaoni upo huru ukiendelea kuhujumu CDM na kupoteza maisha ya watu wasio kua na hatia.
Ktk Vikao vya Bunge vilivyopita na vinavyoendelea sasa umekua ukiendelea na Harakati na hujuma zako dhidi ya CDM hali iliyosababisha wabunge 6 wa CDM kusimamishwa kuhudhuria vikao vitano vya bunge.
Ktk uchaguzi mdogo wa Madiwani uliokua unafanyika ktk kata 26 uliendelea na Mbinu zako chafu na siasa za Maji Taka dhidi ya CDM kwa kumtembeza Majukwaani MUSA KIJANA "TAAHIRA"alie athirika Kisaikolojia baadaya kumwagiwa Tindikali kwa Mipango yako kule Igunga, na kuelezea watu kuwa waliomfanyia vile ni CDM.
Haikuishia hapo siku mbili kabla ya Uchaguzi wa Madiwani ukiwa Ktk kata ya Kimandolu moja ya kata nne zilizokua zikifanya ichaguzi jijini Arusha uliwaambia watu kuwa wasipoichagua CCM wataendelea kufa kwani CDM ni chama cha Vurugu.
Siku moja kabla ya Uchaguzi,baada ya kuona mmezidiwa na CDM pamoja na Ccm kuwatumia baadhi ya Mawaziri ktk mikutano yao bila mafanikio ndipo tena chini ya Mipango yako mkaamua kupiga Bomu ktk hitimisho la mkutano wa CDM ili tu uchaguzi uahirishwe kwa kile kinachodaiwa kua hadi Amani itakapo rejea.
Tangia juzi ilipotokea tukio hilo sio watu wa kawaida sio polisi wanakuhusisha na tukio hilo. Yamkini ktk hili la Bomu huusiki moja kwa moja lakini Mtiririko wa Mauaji ya Igunga,Usa riva,Ndago Singida, Video ya Lwakatare na sasa Bomu Arusha yananifanya nikuhusishe.
Mh Mwigulu CDM ni mpango wa MUNGU na wewe kujitahidi kwa Hila kuzuia Mipango ya Mungu matokeo yake yatakua mabaya sana kwako. Leo hii ninaamini kwamba baada ya uchaguzi huu kusimamishwa na kuwa utafanyika tena tar 30,huna tena hamu wala Ujasiri wa Kusimama ktk jukwaa la siasa hapa Arusha na kuihusisha CDM na Upuuzi uliouzoea.
Wana Arusha wa CCM,CUF,TLP,NCCR na CDM hawataki hata kusikia jina lako.kwa Mtaji huu ndio kabisa UMEIZIKA CCM Jijini Arusha.
Kumbuka kuwa SIKU ZOTE MWISHO WA UBAYA NI AIBU.
Chadema ni mpango wa Mungu kuizuia hutaweza.