Mh Mbunge,
Sisi wapiga kura wako wa Ubungo, hasa maeneo ya Plaza na Ubungo NHC, tunakuletea kilio chetu cha ubovu usiomithilika wa barabara za mitaani.
Ni kwamba, Shirika la Hifadhi ya Jamii(NSSF) Mkoani wa Kinondoni, wamekuwa kltika zoezi la kuweka mfumo mpya wa maji taka na hivyo kulazimika kuchimba barabarani au pembezoni mwa barabara ili wapitishe mabomba na 'chambers, Kazi hiyo imefanyika lakini hawakufukia au hawakufukia vizuri kwenye mitaro na mvua hizi zinazoendelea kunyesha zimeacha mitaro na mashimo makubwa ambayo hayapitiki.
Mh, tunaomba utusaidie kutukarabatia barabara zetu za mitaani kwani NSSF wametufanya kitu mbaya
Sisi wapiga kura wako wa Ubungo, hasa maeneo ya Plaza na Ubungo NHC, tunakuletea kilio chetu cha ubovu usiomithilika wa barabara za mitaani.
Ni kwamba, Shirika la Hifadhi ya Jamii(NSSF) Mkoani wa Kinondoni, wamekuwa kltika zoezi la kuweka mfumo mpya wa maji taka na hivyo kulazimika kuchimba barabarani au pembezoni mwa barabara ili wapitishe mabomba na 'chambers, Kazi hiyo imefanyika lakini hawakufukia au hawakufukia vizuri kwenye mitaro na mvua hizi zinazoendelea kunyesha zimeacha mitaro na mashimo makubwa ambayo hayapitiki.
Mh, tunaomba utusaidie kutukarabatia barabara zetu za mitaani kwani NSSF wametufanya kitu mbaya