Mh. Mnyika ndani ya zambia

Kiby

JF-Expert Member
Nov 16, 2009
6,897
4,621
Katika pilika pilika zangu hapa nchini zambia nimepishana na mtu kama mnyika. Naomba wenye taarifa nae kama ni yeye kweli yupo hapa watupe contact zake ili tuwe na masiliano nae. Ni mbunge wangu jimbo la Ubungo, hivyo kupata nafasi ya kula nae kifungua kinywa, lunch au dinner hapa ugenini ni fahari kubwa. P/se, p/se!!
.
 
Katika pilika pilika zangu hapa nchini zambia nimepishana na mtu kama mnyika. Naomba wenye taarifa nae kama ni yeye kweli yupo hapa watupe contact zake ili tuwe na masiliano nae. Ni mbunge wangu jimbo la Ubungo, hivyo kupata nafasi ya kula nae kifungua kinywa, lunch au dinner hapa ugenini ni fahari kubwa. P/se, p/se!!
.
Bahati nzuri Mnyika ni member humu, bila shaka atauona ujumbe wako.
 
I wish now there is no MOD's on JUKWAA LA SIASA... Hii Habari imepita ni Ombi na Sio habari za Siasa... Habari zangu za Siasa hazipiti kabisaa

Mimi ni Mwanachama ninayefuata Masharti yote ya Jamii Forum na nachangia lakini habari zangu zinatupwa; Ni bora niambiwe sababu nitaacha kuweka habari zangu ndani ya JUKWAA LA SIASA

IS THERE A FREE DEMOCRACY IN HERE ?? IF THERE IS A PICK AND CHOOSE NO DEMOCRACY...
 
Kwa sasa hivi nadhani mod anasoma kwanza ndiyo anatoa hivo anachagua habari za kutoa



I wish now there is no MOD's on JUKWAA LA SIASA... Hii Habari imepita ni Ombi na Sio habari za Siasa... Habari zangu za Siasa hazipiti kabisaa<br />
<br />
Mimi ni Mwanachama ninayefuata Masharti yote ya Jamii Forum na nachangia lakini habari zangu zinatupwa; Ni bora niambiwe sababu nitaacha kuweka habari zangu ndani ya JUKWAA LA SIASA<br />
<br />
IS THERE A FREE DEMOCRACY IN HERE ?? IF THERE IS A PICK AND CHOOSE NO DEMOCRACY...
<br />
<br />
 
I wish now there is no MOD's on JUKWAA LA SIASA... Hii Habari imepita ni Ombi na Sio habari za Siasa... Habari zangu za Siasa hazipiti kabisaa<br />
<br />
Mimi ni Mwanachama ninayefuata Masharti yote ya Jamii Forum na nachangia lakini habari zangu zinatupwa; Ni bora niambiwe sababu nitaacha kuweka habari zangu ndani ya JUKWAA LA SIASA<br />
<br />
IS THERE A FREE DEMOCRACY IN HERE ?? IF THERE IS A PICK AND CHOOSE NO DEMOCRACY...
<br />
<br />
Hapa kwenye trea yangu sii mahali sahihi pa kutulea malalamiko yako. Kwa nini usitumie PM?
Hata hivyo ungeweza kuwa sahihi baada ya kutoa contact za Mnyika kwanza.
.
 
Bahati nzuri Mnyika ni member humu, bila shaka atauona ujumbe wako.
<br />
<br />
Namsubiria kwa hamu Mh mbunge wangu, maana najua kwa vyovyote vile atapita humu jamvini.
.
 
upuuuuuuuuuziiiíiiiiiiiii mtuuuuuuuuupuuuuu huenda hata baba yako au mama hujawanunulia dinner au lunch hata siku moja.
 
Katika pilika pilika zangu hapa nchini zambia nimepishana na mtu kama mnyika. Naomba wenye taarifa nae kama ni yeye kweli yupo hapa watupe contact zake ili tuwe na masiliano nae. Ni mbunge wangu jimbo la Ubungo, hivyo kupata nafasi ya kula nae kifungua kinywa, lunch au dinner hapa ugenini ni fahari kubwa. P/se, p/se!!<br />
.

Mkuu mbona umezunguka sana hapo umesema umepishana nae si ungemstua umwulize badala ya kumwacha apite halafu kuingia JF kuomba msaada haisaidii sana.
 
Usipate taabu!!!!!!!!!
Ni kweli Mnyika yupo Zambia kwa mwaliko wa umoja wa mabunge ya umoja wa madola.Anatarajiwa kurudi nyumbani 27/09.
Angalia Facebook John Mnyika-Group.
 
Usipate taabu!!!!!!!!!<br />
Ni kweli Mnyika yupo Zambia kwa mwaliko wa umoja wa mabunge ya umoja wa madola.Anatarajiwa kurudi nyumbani 27/09.<br />
Angalia Facebook John Mnyika-Group.
<br />
<br />
Thanks mkuu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom