Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jkt wanatoa ajira mkuu? Au ni kutoelewa?Mkuu wa JKT Naandika nalia,kwa nn yatima Justine mwenye 28 amekosa nafasi?
Kiukweli jkt itabeba ndgu fulani,sio ajira kwa nn mmewaacha vijana tena kwa rushwa ya nduguruziotion?
Sio lazima apate ajira ya Jeshi hata kama ana vigezo. Katafute kazi nyingine.Mkuu wa JKT Naandika nalia,kwa nn yatima Justine mwenye 28 amekosa nafasi?
Kiukweli jkt itabeba ndgu fulani,sio ajira kwa nn mmewaacha vijana tena kwa rushwa ya nduguruziotion?
Hicho ulichoandika hakieleweki..kwa uhandishi huu kweli ulistahili kuachwaMkuu wa JKT Naandika nalia,kwa nn yatima Justine mwenye 28 amekosa nafasi?
Kiukweli jkt itabeba ndgu fulani,sio ajira kwa nn mmewaacha vijana tena kwa rushwa ya nduguruziotion?
Acha bangi weweBasi atachukuliwa na jamiiforum
Atapangiwa kazi nyingineSio lazima apate ajira ya Jeshi hata kama ana vigezo. Katafute kazi nyingine.
Kuwa yatima sio kigezo wala kipaombele cha kujiunga na jkt pili jkt sio ajira boy keep trying boy dont give up the fightMkuu wa JKT Naandika nalia,kwa nn yatima Justine mwenye 28 amekosa nafasi?
Kiukweli jkt itabeba ndgu fulani,sio ajira kwa nn mmewaacha vijana tena kwa rushwa ya nduguruziotion?
Kabisa maana haeleweki kabisaHicho ulichoandika hakieleweki..kwa uhandishi huu kweli ulistahili kuachwa
I am very sirious waliochukuliwa wachunguzwe hii nayo bangi fala ww
Acha ufala hakunavkigezo cha umri wa miaka 28 mwisho ni 27 tena wenye masterzz mkuuu usikurupuke wakati mwingne na waumri huo wameachwa wengi so acha kutafuta kikiMkuu wa JKT Naandika nalia,kwa nn yatima Justine mwenye 28 amekosa nafasi?
Kiukweli jkt itabeba ndgu fulani,sio ajira kwa nn mmewaacha vijana tena kwa rushwa ya nduguruziotion?
akili zako changanya na matako yako! Hayajakukuta ndio maama wajibubhivyoAcha ufala hakunavkigezo cha umri wa miaka 28 mwisho ni 27 tena wenye masterzz mkuuu usikurupuke wakati mwingne na waumri huo wameachwa wengi so acha kutafuta kiki
Huwez sema nafasi ni chache hata kwa mtu aliye omba na vigezo vyote na siku yabkwanza wwNafasi ni chache waliopata ndio hao!! Kuwa yatima sio kigezo cha upendeleo!! Anatakiwa awena sifa za kushindana!!! Pole Justine kama kweli umekatwaa!!!