MZEE MSASAMBEGU
JF-Expert Member
- Apr 19, 2013
- 2,780
- 2,547
Sasa unalialia nini hapa kama hutaki huo upuuziWakina nan mm siitaji upuuz huo
Sasa unalialia nini hapa kama hutaki huo upuuziWakina nan mm siitaji upuuz huo
(,...)we huo upuuzi wako uliofanya hapo ulifundishwa darasani?hata wewe rudi darasani,..UHANDISHI ndiyo nini?
nadhan alikua anamaanisha divisheni four ya 28 kama cjamuelewa vibayaAcha ufala hakunavkigezo cha umri wa miaka 28 mwisho ni 27 tena wenye masterzz mkuuu usikurupuke wakati mwingne na waumri huo wameachwa wengi so acha kutafuta kiki
Kha?Jf noma tena apangiwe ile ile ya Dk LuisAtapangiwa kazi nyingine
sifa ya kwanza ya askari ni uvumilivu. Comment yako inaonesha hauna uvumilivu hata kidogo.akili zako changanya na matako yako! Hayajakukuta ndio maama wajibubhivyo
Kajamaa ni karundi mkuu nadhani wamekaacha sababu ya lugha zaidi kuliko umriSijakuelewa hebu rudia?
Jkt ni sawa na veta. Ukimaliza kozi kajiajiri na huwa wanatangazia kabisa watu wenye uelewa finyu kwenye usaili.Nachanganya vizur tu ila karudi kusoma vigezo acha unyumbu ,,,,wewjkt ni vigezo vyao na sio malalamiko yako alafu utambue jkt sio ajira acha unyumbuu
Halafu mtu akishafikisha miaka 15 au akisha balehe uyatima unakwisha, vinginevyo nusu ya watu duniani wangekua yatima maana hata wa miaka 50 waliofiwa na wazazi wangesema wao mayatimaMiaka 28 labda kama ana PHD
ila chini ya hapo hana vigezo.
Uyatima sio sifa ya kupata nafasi.
Justin punguza hasira huchaguliwi kwenda jkt kwasabab ww ni yatima. Nadhani ulisoma vibaya tangazo hakuna kipengele walichosema yatima watapewa kipaumbele. Ingekuwa hiko ni kigezo wala wasingetangaza nafasi wangeenda moja kwa moja orphanage centers kwenda kuwachukua.Bangi abavuta babako kijijini
mkuu kumbe nawewe umenotice kitu hichi eeeehYaani mengine n ya kumwachia Mungu tu. Mtu yuko Dar anapitishiwa kagera mchezo kwisha. Hatufiki kokote kwa akili hii mpaka yesu arudi
Inauma sana....Mkuu wa JKT Naandika nalia,kwa nn yatima Justine mwenye 28 amekosa nafasi?
Kiukweli jkt itabeba ndgu fulani,sio ajira kwa nn mmewaacha vijana tena kwa rushwa ya nduguruziotion?