Indume Yene
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 2,950
- 711
Wadau nimekutana na hii picha mtandaoni ikionyesha ugeni aliokuwa nao JK kule New York. Mgeni wa JK alikuwa kiongozi wa waasi wa Libya ambaye kwa sasa ndiye Rais wa serikali ya mpito (Mustafa abdel-Jalil). Tunakumbuka kasheshe ya Membe na balozi wa Libya nchini Tanzania. Sasa Prezidaa kaonana na kiongozi wa huyo balozi, lakini Mh. Membe haonekani kwenye hayo mazungumzo zaidi ya JK na balozi Ombeni. Membe kaona aibu na kuingia mitini.Angalia mwenyewe.