bartazary bon
Member
- May 19, 2011
- 11
- 1
wana JM-jana mh huyu alisema kuna hoteli moja imeajili wageni wengi ktk nafasi kadhaa ambazo wazawa wana uwezo na elimu ya kuzifanya.Lakini wazawa hawakuzingatiwa.
Nami ningependa kuwaeleza ya kuwa,hali hii si kwenye ma hoteli tu,nenda kwenye makampuni makubwa ya uingizaji madawa na kwenye viwanda,huko ndo balaa.Ni rai yangu mamlaka husika zilifanyie kazi,
Makampuni makubwa kama salama pharmaceutical,shelys pharmaceutical,metro pharma,tata pharma.ipca pharma,philips pharma na mengine mengi tu-utawakuta wahindi na mabegi yao kwenye mahospitali na ma pharmacy wakitafuta masolo. NAWAKILISHA
Nami ningependa kuwaeleza ya kuwa,hali hii si kwenye ma hoteli tu,nenda kwenye makampuni makubwa ya uingizaji madawa na kwenye viwanda,huko ndo balaa.Ni rai yangu mamlaka husika zilifanyie kazi,
Makampuni makubwa kama salama pharmaceutical,shelys pharmaceutical,metro pharma,tata pharma.ipca pharma,philips pharma na mengine mengi tu-utawakuta wahindi na mabegi yao kwenye mahospitali na ma pharmacy wakitafuta masolo. NAWAKILISHA