Sina mengi ya kuzungumza lakini naomba TBC wapigwe marufuku kukanyaga tena kwenye mikutano ya CHADEMA.
TBC wapo hapo kwaajili ya kuhujumu mikutano, kwa wanaoangalia taarifa za TBC mtanielewa.
Kwanza katika mikutano TBC wanatafuta sehemu ambayo haina watu wengi ndio wanachukua picha.
Pili hawarushi sera alizozungumza mgombea bali wanachota point zisizo na sera ndizo wanarusha, mfano wanarusha tu mgombea akiwa anaomba michango kwa wananchi ndio basi taarifa imeisha.
Tatu taarifa ya CHADEMA inarushwa chini ya dakika moja tu,
Anaebishi naomba afatilie taarifa za TBC.
Mbowe endapo utaendelea kuwaendekeza hawa malofa na vibaraka nitakudharau sana, naomba uwaambie tu kwa amani kuwa hatuwahitaji kwenye mikutano yoyote ya CHADEMA.
Nawasililisha
TBC wapo hapo kwaajili ya kuhujumu mikutano, kwa wanaoangalia taarifa za TBC mtanielewa.
Kwanza katika mikutano TBC wanatafuta sehemu ambayo haina watu wengi ndio wanachukua picha.
Pili hawarushi sera alizozungumza mgombea bali wanachota point zisizo na sera ndizo wanarusha, mfano wanarusha tu mgombea akiwa anaomba michango kwa wananchi ndio basi taarifa imeisha.
Tatu taarifa ya CHADEMA inarushwa chini ya dakika moja tu,
Anaebishi naomba afatilie taarifa za TBC.
Mbowe endapo utaendelea kuwaendekeza hawa malofa na vibaraka nitakudharau sana, naomba uwaambie tu kwa amani kuwa hatuwahitaji kwenye mikutano yoyote ya CHADEMA.
Nawasililisha