MH. MBOWE MUULIZE MASWALI HAYA WAZIRI MKUU SIKU YA ALHAMISIKIPINDI CHA MASWALI YA PAPO KWA PAPO TOKA KWA WABUNGE.
1. Kwakuwa Manyanya ni mkuu wa mkoa, kwa hiyo sualaalilo litoa bungeni kuwa Chadema wanahusika na mgomo wa madaktari ni kauli yaserikali, je serikali inasemaje kuhusu hilo.
2. Je magwanda waliovaa watesi wa Dr. Ulimbokayanafananaje na yale ya Chadema wakati nguo hiyo huweza valiwa na kila mtu, sababumagwanda hayana nembo ya Chadema.
3. Manyanya anaposema Mungu amemwepusha Dr.Ulimboka na mauaji ya Watanzania wasio na hatia ndiyo maana kafanyiwa vitendovya kinyama kiasi hicho, je serikali inaafiki unyama huo? Je Manyanya anaonakitendo hicho ni sahihi ili kuwafanya madaktari warudi kazini?
4. Nchemba anaposema Chadema hawana uchungu na mh.Serasini kwa hiyo hawana haki ya kuwa na uchungu na Dr. ulimboka, je Dr.Ulimboka kapata ajali?, ana uhakika gani wa kiintelijensia kuwa Chadema hawahangaiki na matatizo yaliyomfika mh.Serasini?
Tafadhali Mh. Mbowe muulize Waziri Mkuu.
1. Kwakuwa Manyanya ni mkuu wa mkoa, kwa hiyo sualaalilo litoa bungeni kuwa Chadema wanahusika na mgomo wa madaktari ni kauli yaserikali, je serikali inasemaje kuhusu hilo.
2. Je magwanda waliovaa watesi wa Dr. Ulimbokayanafananaje na yale ya Chadema wakati nguo hiyo huweza valiwa na kila mtu, sababumagwanda hayana nembo ya Chadema.
3. Manyanya anaposema Mungu amemwepusha Dr.Ulimboka na mauaji ya Watanzania wasio na hatia ndiyo maana kafanyiwa vitendovya kinyama kiasi hicho, je serikali inaafiki unyama huo? Je Manyanya anaonakitendo hicho ni sahihi ili kuwafanya madaktari warudi kazini?
4. Nchemba anaposema Chadema hawana uchungu na mh.Serasini kwa hiyo hawana haki ya kuwa na uchungu na Dr. ulimboka, je Dr.Ulimboka kapata ajali?, ana uhakika gani wa kiintelijensia kuwa Chadema hawahangaiki na matatizo yaliyomfika mh.Serasini?
Tafadhali Mh. Mbowe muulize Waziri Mkuu.