Nanyaro Ephata
JF-Expert Member
- Jan 22, 2011
- 1,221
- 1,788
Leo Mwenyekiti wa Taifa CHADEMA,kamanda Freeman Mbowe,amefanya mkutano wa hadhara jimboni Hai,mkutano mkubwa pamoja na kufungua shina la wakereketwa.Wakati wa ufunguzi wa shina hilo wanachama wa ccm akiwepo Ndugu wa Mwenyekiti wa ccm wilaya ndugu Olomi,amejiunga na CHADEMA,mbali na Olomi aliambatana na wanachama 30 wa ccm.
Pamoja na kujiunga na CHADEMA pia wameomba radhi,kwa fujo walizofanya wakati wa uchaguzi mkuu mwaka jana..
Mapambano yanaendelea
Pamoja na kujiunga na CHADEMA pia wameomba radhi,kwa fujo walizofanya wakati wa uchaguzi mkuu mwaka jana..
Mapambano yanaendelea