Akijiunga na CDM 2015 na kupewa nafasi ya kugombea nitawaona viongozi wa CDM ni vichaa kuliko wa chama chochote Tanzania.Jimbo la Bunda 2015:
Mr. Gombe vs Ester Bulaya
Akijiunga na CDM 2015 na kupewa nafasi ya kugombea nitawaona viongozi wa CDM ni vichaa kuliko wa chama chochote Tanzania.Jimbo la Bunda 2015:
Mr. Gombe vs Ester Bulaya
She is not that smart.....!!
Akijiunga na CDM 2015 na kupewa nafasi ya kugombea nitawaona viongozi wa CDM ni vichaa kuliko wa chama chochote Tanzania.
Her chances are too remote. Ndiyo maana ataendelea kugombea viti vya kubebwa vya wanawake opportunist huyu. Mibangi inaingiaje hapa sasa!kwenye kura za maoni ndani ya ccm je? mibangi yenu bana kha!
Nimeipenda hii'' Na wale wabunge wa Chadema wasio changia chochote bungeni waende CCM! naona imekaa ki mjadala zaidi safi sana!
Her chances are too remote. Ndiyo maana ataendelea kugombea viti vya kubebwa vya wanawake opportunist huyu. Mibangi inaingiaje hapa sasa!
Well, inawezekana kwa uelewa wangu mdogo nilishindwa kuelewa context ya ulichoandika mwanzoni kuwa Wassira vs Bulaya. Nilifikiri ulimaanisha Wassira (CCM) vs Bulaya (CDM). If I was wrong, kumradhi. But if I was right, you owe me an apology.Ukichaa wa viongozi wa chadema kwa Bulaya unaingiaje? well, umeeleweka .......
Njiwa pori, njiwa manga, tetere na wale njiwa wetu wa kufugwa, nadhani ni kama hapo ulipo note weweMkuu kwani kuna jamii ngapi ya Njiwa? Au ulimaanisha kusema Ndege wa jamii moja huruka pamoja!
Well, inawezekana kwa uelewa wangu mdogo nilishindwa kuelewa context ya ulichoandika mwanzoni kuwa Wassira vs Bulaya. Nilifikiri ulimaanisha Wassira (CCM) vs Bulaya (CDM). If I was wrong, kumradhi. But if I was right, you owe me an apology.
Namkubali sana huyu dada ndie anaemnyima usingizi Wassira.!!
Guys tumtendee haki huyu dada siku hizi kabadirika sana. Amekuwa mtetezi wa kweli wa wananchi, na kama tukiacha ushabiki na kumfatilia kwa hoja basi tutakubaliana huyu dada Esthe siku hizi anafanya vizuri sana katika bunge. Penye kusifu anasifu na penye kukosoa anakosoa kwa hoja nzito na ujasili mkubwa. Mimi pia niliwahi kuweka uzi hapa kuonesha simkubali Esther lakini ukweli ni kwamba namfaitia hoja zake siku hizi zinamashiko kwa taifa na hivyo anapaswa kuungwa mkono ili aongeze kufanya vizuri.
M4C
Kwasababu CCM ndo chimbuko la waadilfu na wachapakazi wa ukweli,siwatu wavurugu na sera zakibabeHuyu dada ameichambua bajeti kisayansi na kisomi, kapitia vipengele na kuainisha mapungufu, kaangalia utekelezaji wa bajeti iliyopita kalinganusha na iliyoombwa!! Huyu dada ni jembe, sijui nani alimuingiza mkenge kuleta vurugu pale Igunga, atakusaidia sana Mh Mbowe katika utekelezaji wa M4C hebu angalia uwezekano wa kumvalisha Gwanda. Kasi yake haiendani na serikali goigoi ya CCM.
Mkuu kunawakati walifika hatua ya kurushiana maneno hadharani.Wasira anyimwe usingizi na Bulaya?
Ha!ha!ha!ha!....
Bulaya ni naaaaaannnni?
Hapana chezeya Taison weye.
Well, inawezekana kwa uelewa wangu mdogo nilishindwa kuelewa context ya ulichoandika mwanzoni kuwa Wassira vs Bulaya. Nilifikiri ulimaanisha Wassira (CCM) vs Bulaya (CDM). If I was wrong, kumradhi. But if I was right, you owe me an apology.