Kila siku moja tu, upinzani una miaka kumi na tisa sasa hivi lazima waanze ku act kama viongozi vyama vyama vyenye miaka 19, kampeni za udiwani pelekeni wakina Heche.
Chama kinachojinadi kuwa na wanachama zaidi ya vyama vyote kinapeleka watu zaidi ya mia moja kumkampenia Kafumua tu?? Ukomavu uko wapi hapo utasikia mwenyekigoda wa taifa anaenda kuhitimisha kampeni mmmh bado polisi, usalama wa ccm na vyombo vyote vya kinyonyaji vinatumika kunyonya wapiga kura huko Igunga huu ndiyo ukomavu.
popote kwenye msiba sheikh ndo amawakumbusha mambo mazuri ya MUUMBA sasa aijalishi msiba wa mtoto,mkubwa au mzee na aijalishi anaekumbusha ni Ostadh,sheikh au mufti umeelewaa? Amkeni waTZ
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.