Hanang 1
JF-Expert Member
- Mar 20, 2019
- 304
- 197
Hajamtukana, kasema uhalisia
Singida hiyo! Ila kakosea sana kumtukana lowassa
Singida hiyo! Ila kakosea sana kumtukana lowassa
Mbowe ni mzuri sana kwenye speech, sauti yake inayomamlaka ndani yake ni kiongozi mzuri. Lakini pamoja na kwamba ni kiongozi mzuri, ni vema akakiandaa chama Kwa vijana na yeye sauti yake bado itasikika tu.
Kwani wewe huoni waliondaliwa? Au wewe unataka waandaliweje hasa? Muda ukifika mabadiliko yatafanyika. Achana na propaganda za uvccm eti sura ileile. Chama hakiwezi kufanya mabadiliko kuwaridhisha wapinzani wake, hata siku moja.Chama sasa si kidogo na ni chama mbadala baada ya CCM,Nategemea kiwe na sura ya kidemokrasia ya kuachiana vijiti.Napata kigugumizi sana ninapoona Jina moja hilo hilo miaka lukuki.Mbowe anaushawishi ni vema akajiwekea malengo ya kupigania uraisi 2025 lakini mchakato ukaanza Sasa Kwa kujijenga. Awe mzee wa chama na chama kimuandae
Hukuangalia video?, maana hata ile kuiga tu anavyoingea hakufanya sahihi kabisa
mbowe anamdhalilisha mzee.....Leo kawa mlenda sio mzee wa mabadiliko.....!!!?kweli siasa haiana rafiki wala adui....ni unafiki na uzandiki tu....
Mboe ni mtoto mdogo anaendesha chama kwa mihemko. Lowassa ni mwanasiasa miaka mingi na ni jasusi.Freeman Mbowe akihutubia mkutano wa ndani wa CHADEMA mkoani Singida amesema Chadema ni taasisi na hata ukiondoka utaondoka wewe na mke wako na siyo chama.
Mbowe amemtolea mfano Edward Lowassa kuwa hakuyajua mateso ya kuwa upinzani na baada ya miaka miwili ya kuwa upinzani Lowasa alilegea kama mlenda!
View attachment 1102254
Mkuu Nanyaro Ephata vipi hali ya chama hapo Arusha!?.Hakuna udhalilishaji hapo..ni kweli alikuja N watu ameondoka na familia
Utakua mjomba wa Dr Slaa, Laway khaetumuulize mbowe, vipi kuhusu wale wa ulipo tupo wamebaki wapi?
Kwani wewe huoni waliondaliwa? Au wewe unataka waandaliweje hasa? Muda ukifika mabadiliko yatafanyika. Achana na propaganda za uvccm eti sura ileile. Chama hakiwezi kufanya mabadiliko kuwaridhisha wapinzani wake, hata siku moja.
Kwa kuheshimiana tu naona tukubaliane kutokukubaliana.Chadema lazima ijadiliwe na watanzania wote kwani wakati wowote watanzania wanaweza kuwapa ridhaa ya kuongoza Nchi hawatakuwa viongozi wa kundi fulani bali viongozi wa Tanzania.Atakayeamini chadema ijadiliwe na wana chadema pekee naamini si sawa.
Kwa kuheshimiana tu naona tukubaliane kutokukubaliana.
Mnabadilika kama kinyongaAlijikwaa "alikojinyea..." mlimtapakaza uvundo mzee wa watu leo hii mnajitia huruma ya mamba...
Hatuwazidi wazee wa viunu na minenguo... wazee wa "ndiyooo...." wazee wa......Mnabadilika kama kinyonga