Mh Nimekusikia Ukiongea kuhusu wachimbaji wadogo wadogo,pita katika maneno yako.Tumeona Mwabomba Kahama mzungu amechimba takribani miaka 2 hakuna chochote katika maendeleo lakini tumeona baada ya wachimbaji wadogo kuruhusiwa Ushirombo na Masumbwe maendeleo yanavyoshika kasi ya ajabu na watu kufanya maendeleo
Nakushauri kwa dhati pita katika maneno yako.
Nakushauri kwa dhati pita katika maneno yako.