Mheshimiwa machemuli mbunge wa CHADEMA- UKEREWE.
Natumai umepona ama unaendelea vema baada ya kuumizwa.
Nia ni kutaka kujua kwa nini umekaa kimya namna hiyo kwani hatusikii operation vua gamba vaa gwanda huko kwenye jimbo lako.
Pia kuna tetesi kuhusu uwajibikaji mbovu wa halmashauri ya wilaya hasa katika swala la malipo. Nia ya CDM ni kuibua uozo nchini kote, je kwako mbona kimya kunani?
Natumai umepona ama unaendelea vema baada ya kuumizwa.
Nia ni kutaka kujua kwa nini umekaa kimya namna hiyo kwani hatusikii operation vua gamba vaa gwanda huko kwenye jimbo lako.
Pia kuna tetesi kuhusu uwajibikaji mbovu wa halmashauri ya wilaya hasa katika swala la malipo. Nia ya CDM ni kuibua uozo nchini kote, je kwako mbona kimya kunani?