kelvito
JF-Expert Member
- May 30, 2012
- 386
- 100
Nadhani hapo ni kama kumshauri mbuzi akuvushe barabara!
Na kushauri usiangaike na hicho chama kimesha jifia!
Juzi ametoa hotuba kasimama, usishangae hotuba ijayo kuitoalea msituni, usiulize msitu gani.
Yaan damu yamtu ina changanya sana.
Mkuu ni kweli ni dalili za JK kuchanganyikiwa ndo maana Vijana tunaamua kumshauri ili asipate matatizo ya kuchanganyikiwa!