Tetesi: Mh Lwakatare bila stendi mpya,soko ,na upanuaji Wa barabara za Bukoba 2020 usitegemee kurudi Dodoma.

instanbul

JF-Expert Member
Jun 26, 2016
11,381
14,186
Kusema ukweli kwa sasa kila mtaa Wa mji huu maarufu nchi kila mtu yupo ana nongona kuhusu stendi,barabara, na soko kulikoni mbona havifanyiwi kazi? Nakuomba sana mh na ukawa kwa ujamula kama mlivyofanya miji ya arusha na iringa please tunaomba matatizo haya yafanyiwe kazi vinginevyo jimbo litarudi CCM 2020 kwa hali ya sasa bora CCM mbona walau walijenga baadhi ya barabara na airport nyinyi ukawa hamjafanya kitu.kweli mtakuwa waongo
 
0781a1cc3f776005808ef6d5a4cc5897.jpg
barabara zinatia kinyaa huwezi jua kama mji huu unakaliwa na watu zaidi ya laki mbili au elfu kumi serikali na huu mji kuna watu
8fd9689956dd78b759c8db196de23c91.jpg
899eca05e56744ded6a24548021eeb63.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom