Nimeangalia hotuba aliyoitoa Mh. Lowassa kwenye mazishi ya Mh. William Ole Ntimama na alipokuwa akiwatambulisha watu alioongozana nao, aidha kwa makusudi au bahati mbaya, hakutambua uwepo wa Msemaji wa CCM, Mh. Ole Sendeka.
Kitendo kile kinamjenga au kumbomoa kisiasa?
Mbona wenzetu wa Kenya walikuwepo bila kujali kwamba ni wa chama tawala au upinzani na wote walipata fursa ya kuongea?
Je siasa ni uadui?
Kitendo kile kinamjenga au kumbomoa kisiasa?
Mbona wenzetu wa Kenya walikuwepo bila kujali kwamba ni wa chama tawala au upinzani na wote walipata fursa ya kuongea?
Je siasa ni uadui?