hivi mgonjwa anafahamika kwa kumwangalia tu, kama ni kwa kutizima tu basi inawezekana TV yako inaonyesha chenga, mzee anaonekana amechoka and hana raha, na wengine wanasema anatetemeka, ana matatizo ya saikolojia, etc, vipi wewe yote umeyaona kuwa ni uongo?