Mh; lowasa atangaza ushindi makuyuni sku mbili kabla

Young Tanzanian

JF-Expert Member
Mar 10, 2012
1,736
293
Mheshimiwa Edward lowasa na rais mtarajiwa wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania amemalza kampen za udiwan katka kata ya makuyuni katka ngome yake kuu ya jimbo la Monduli kata ya makuyuni na ameanza ziara mjini moshi leo kwa kazi zake za kiofsi na kuacha vijana wakimalizia/wakfunga kampeni hii inaonyesha nguvu kubwa aliyonayo lowasa monduli,arusha na Tanzania kwa ujumla...kweli lowasa ni mtaalam wa siasa za kileleni/kitaifa ....
 
Mbona thread mbili kichwa cha habari kimoja waliopost wawil tofauti wanajibizana? Haya kachukue chako mapema kwa aliyekutuma
 
MIMI BABAMbona thread mbili kichwa cha habari kimoja waliopost wawil tofauti wanajibizana? Haya kachukue chako mapema kwa aliyekutuma

Kaka mleta mada ni mm mchangiaji amefanya kuicopy hoja mchanganyko ipo jukwaa la siasa....jamaa si vijana wa nape wa buku saba ni vijana wachache wanaojiweza kiuchumi wanaomkubali jembe lowasa mzee mwenye uwezo wa kufanya maamuz magumu ambaye aliachia uwazr mkuu kutokana na ftna za kna sta za kung'ang'ani uwazr mkuu alioaidiwa na JK bdaye JK akona jembe ni lowasa ikamuuma sta ila kwa sasa lowasa anapga magol ya ksgno anawkmbza balaaaa kna nape wasubr iingie vzur wasilielie ata kama ni ngumu kumesa wamese
 
MIMI BABAMbona thread mbili kichwa cha habari kimoja waliopost wawil tofauti wanajibizana? Haya kachukue chako mapema kwa aliyekutuma


Kaka mleta mada ni mm mchangiaji amefanya kuicopy hoja mchanganyko ipo jukwaa la siasa....jamaa si vijana wa nape wa buku saba ni kijana anayejiweza kiuchumi balaa na moja ya wanaomkubali jembe lowasa mzee mwenye uwezo wa kufanya maamuz magumu ambaye aliachia uwazr mkuu kutokana na ftna za kna sta za kung'ang'ani uwazr mkuu alioaidiwa na JK bdaye JK akona jembe ni lowasa ikamuuma sta ila kwa sasa lowasa anapga magol ya ksgno anawkmbza balaaaa kna nape wasubr iingie vzur wasilielie ata kama ni ngumu kumesa wamese
 
Kaka mleta mada ni mm mchangiaji amefanya kuicopy hoja mchanganyko ipo jukwaa la siasa....jamaa si vijana wa nape wa buku saba ni kijana anayejiweza kiuchumi balaa na moja ya wanaomkubali jembe lowasa mzee mwenye uwezo wa kufanya maamuz magumu ambaye aliachia uwazr mkuu kutokana na ftna za kna sta za kung'ang'ani uwazr mkuu alioaidiwa na JK bdaye JK akona jembe ni lowasa ikamuuma sta ila kwa sasa lowasa anapga magol ya ksgno anawkmbza balaaaa kna nape wasubr iingie vzur wasilielie ata kama ni ngumu kumesa wamese

Hahahaha mzee wa ANC bora umenisaidia mm si kjana wa buku saba naweza muajr 20 yrs nimecopy uz wako u knw namkubali sana huyu mzee cz si dhaifu...kboko ya kna nape na sta....lowasa ni jembe
 
Mbona thread mbili kichwa cha habari kimoja waliopost wawil tofauti wanajibizana? Haya kachukue chako mapema kwa aliyekutuma

Wahenga walisema njaa ni mwana malevya, wewe tafuta makongoro ule ukalale, Sasa Lowasa ni nani? Je yeye ni tume? Yeye ni mpiga kura Makuyuni?Kaa unampamba hivyo Arumeru ilikuwaje? Waache wananchi wachague mtu na chama wakitakacho. Kama kweli anao uwezo kwa nini wanahonga watu fedha hata kwenye uchaguzi mdogo huu wa udiwani.

CCM jiandaeni kusugua viti vya upinzani. Unasema ni Rais mtarajiwa wa Zanzibar/Tanganyika/ Muungano?
Tunajua Monduli iliwahi kuwa na Mbunge mmoja tu Marehemu Edward MORINGE SOKOINE huyo ndo nyota yetu iliyozima huyu no mbwembwe za Richmondul tu,

Kwa heri jipe moyo mkuu usipate BP Bure!!!!!!!!!!!!
 
Kweli kuiga ni tatizo.JMK akisema LOWASSA ni jembe na mfuasi wa CHICHIEMU lazima useme ni jembe?KWA NINI ASIWE COMBINE HARVESTER AU KIFAA YOYOTE YA KISASA,JEMBE NI KUAKISI ZAMA ZA KALE ZA CHUMA SI TEKNOLOJIA MPYA YA KILIMO.JEMBE IPO KARNE YA KWANZA NA MAKSAI KABLA YA KRISTO AITWAYE YESU
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom