ANC-KWA ZULU NATAL
JF-Expert Member
- Jun 5, 2013
- 325
- 37
Mheshimiwa Edward lowasa na rais mtarajiwa wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania amemalza kampen za udiwan katka kata ya makuyuni katka ngome yake kuu ya jimbo la makuyuni na ameanza ziara mjini moshi leo kwa kazi zake za kiofsi na kuacha vijana wakimalizia/wakfunga kampeni hii inaonyesha nguvu kubwa aliyonayo lowasa monduli,arusha na Tanzania kwa ujumla...kweli lowasa ni mtaalam wa siasa za kileleni/kitaifa ....