Gwalihenzi
JF-Expert Member
- Oct 21, 2011
- 5,125
- 1,300
Majungu haya mpelekee hawara yako mkiwa kitandani mjinga wewe!tuseme ukweli wote, lisu ni mwanasiasa mzuri sana, na anafaa kuwa kiongozi na mwanachadema, lakini si mwanasheria. lisu hajui sheria kabisa, nafikiri si kosa lake ni kwasababu huwa hasomi sheria, anakosa muda wa kusoma sheria sana, muda huo hana ndio maana hata watoto wadogo kabisa wanamchachafya mahakamani....kwa wale ambao walishawahi kupambana naye mahakamani watajua hili....hata hivyo nampongeza kwa kuwa mwanasiasa mzuri, ila sheria kidogo ameweka pembeni. yuko empty na huwa ana argue kisiasa tu na nadharia....