Wamekubali kutumikia adhabu yao ya kutohudhuria vikao vya bunge kadhaa na ili hali adhabu kama hiyo japo kuwa tofauti kidogo ingemkumba CAG, nawalinganisha na mashahidi wa Uganda ambao walikubali kwa hiyari kabisa kuchomwa moto na Kabaka Mwanga kwa sababu ya kukataa kuikana dini ya kikristo.
Wametetea msimamo wao ambao umepelekea wakose mahela mengiiii, hakisa mungu yupo atawalipa. Malipo ni hapa hapa duniani.
Wametetea msimamo wao ambao umepelekea wakose mahela mengiiii, hakisa mungu yupo atawalipa. Malipo ni hapa hapa duniani.