ugolo wa bibi
JF-Expert Member
- Jul 16, 2012
- 1,305
- 302
mawaziri ni mizigo ya serikali
pinda anaumwa
Mzigo ni yule aliyewateua ndo maana kaenda maabara marekani kupima malaria.
Mizigo sasa imezidi kuongezeka na sasa serikali imejaa mawaziri mifurushi
Watakuwa wameenda kuandika barua za kujiuzuru.
teh teh...Mizigo sasa imezidi kuongezeka na sasa serikali imejaa mawaziri mifurushi
Mizigo sasa imezidi kuongezeka na sasa serikali imejaa mawaziri mifurushi
Kwani yeye ni monitor?
wangekuwepo wabunge wengi wa ccm wasigeongea waliyoyaongeanawaziri wenye tuhuma inayojadiliwa hawapo wote bungeni mda huu.