kigoma mjini
Member
- Dec 1, 2013
- 95
- 9
nawaziri wenye tuhuma inayojadiliwa hawapo wote bungeni mda huu.
Ameomba muongozo kwa mhe spika kwa kuwa kipindi cha jioni mawaziri husika Ulinzi,Maliasili na Utalii hawako bungeni kusikiliza hoja za wabunge kwa ajili ya ripoti ya OPERATION
Mhe. Spika hajautoa ameruhusu mjadala uendelee yamkini atautoa
Naomba kuwasilisha