BLUE BALAA
JF-Expert Member
- Nov 30, 2010
- 1,222
- 764
Siku si nyingi nili post thread iliyohusu Arusha Development Fund - ADF. Nikashauri waangile muundo wa watendaji pamoja na kuweka trustees ambao wanakubalika kwenye macho ya jamii. Sina maana kwamba waliopo hawakubaliki ila bado ni wachanga mno kuweza kushawishi Uma katika mambo ya kuleta maendeleo.
Kulikuwa na hafla ambapo Mh Lema alikuwa anawakabidhi ada wazazi wa wanafunzi 400. Kwenye hafla hiyo viongozi wote wa mkoa walialikwa ila aliyefika ni OCD peke yake na nina hisi alikuja kwa ajili ya kucheki kama mabomu yangehitajika basi aweze kuwasiliana na vijana wake. Ni jambo la kusikitisha sana ila ADF ijiulize ni kwanini viongozi wa serikali hawakufika.
Kulikuwa na hafla ambapo Mh Lema alikuwa anawakabidhi ada wazazi wa wanafunzi 400. Kwenye hafla hiyo viongozi wote wa mkoa walialikwa ila aliyefika ni OCD peke yake na nina hisi alikuja kwa ajili ya kucheki kama mabomu yangehitajika basi aweze kuwasiliana na vijana wake. Ni jambo la kusikitisha sana ila ADF ijiulize ni kwanini viongozi wa serikali hawakufika.