Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,293
- 217,279
Abiria wa Mbagala kupata siti lazima aingilie dirishaniWa kwanza leo
Mkuu nimekuwekea na video hapo kuhusu ATCLThe cycle is closing, ma- snitch tunawajua, lkn huyo Kubenea anacheza ngoma asiyeijua, yeye anatumiwa tu.
Alimshinda Mgombea wa ccm aliyeitwa Didas Masaburi kwa Tofauti ya kura elfu 10Kwa hiyo atameza mafuta ya ndege then aanze kuunguruma sio. Kuna viroja nji hii sijawahi ona. Ajiandae very soon atarudi kwenye kazi ya freelancing kwenye magazeti ya wenzake. Nyambaff kibeberu cha UFIPA
hukukosea hata kidogo , tunakushukuru kwa kura yakoHuyu jamaa sijui kwann nilimchagua
njoo manzese huku ukiambatanisha malalamiko yako , tutakupokea tu mkuuYan msela kama sio mbunge wetu tu, alituhaidi vijiahadi ambavyo amevipotezea na katupotezea kabisa sisi wananchi wake
Yan msela kama sio mbunge wetu tu, alituhaidi vijiahadi ambavyo amevipotezea na katupotezea kabisa sisi wananchi wake
Juzi nilikuwa nawaambia washikaji wangu wa kimara kuwa huyu kura yangu hasahauHuyu jamaa sijui kwann nilimchagua
The cycle is closing, ma- snitch tunawajua, lkn huyo Kubenea anacheza ngoma asiyeijua, yeye anatumiwa tu.
Juzi nilikuwa nawaambia washikaji wangu wa kimara kuwa huyu kura yangu hasahau
Mkuu kama upo chadema waambie akina mbowe watuwekee mgombea mwingine tutamchagua lakini sio huyu, kama mkijifanya viburi mtaishia kusema ccm wamewaibia kura maana huku kimara hatumtaki kubenea lakini tunaitaka chadema iendelee kutawala jimbonjoo manzese huku ukiambatanisha malalamiko yako , tutakupokea tu mkuu
Yule wa million 50 kila kijijini unakumbuka?Yan msela kama sio mbunge wetu tu, alituhaidi vijiahadi ambavyo amevipotezea na katupotezea kabisa sisi wananchi wake
Mbunge wa Kimara ni Mnyika , Kubenea ni mbunge wa UbungoMkuu kama upo chadema waambie akina mbowe watuwekee mgombea mwingine tutamchagua lakini sio huyu, kama mkijifanya viburi mtaishia kusema ccm wamewaibia kura maana huku kimara hatumtaki kubenea lakini tunaitaka chadema iendelee kutawala jimbo