jmushi1
Platinum Member
- Nov 2, 2007
- 24,989
- 22,521
To me i think siyo rushwa..ilikuwa ni ukarimu wake tu. Maana jamaa ni mkarimu sana yaweza kuwa alipita mitaa kaona jamaa wananjaa akaamua kuwagawia vitumbia but ideally it was not corruption. Alishindwa kujizua akabidi afanye Liwalo na Liwe..! big up Kigwa..
Kwahiyo ilitokea kama coincidence akawaona wana njaa wakati anatafuta watu wa kumpigia kura alipopita mtaani?Hayo macho ni ya aina yake ya kipekee hayo.