Mjenda Chilo
JF-Expert Member
- Jul 20, 2011
- 1,467
- 513
chapakazi edward Lowasa, Mungu wa kweli akusimamie uje upate uongozi ili udelive kama kawaida yako, makosa madogomadogo omba msamaha wa kweli wa Mungu akusamehe, kama kuna CCM tena, Im No. 1 for Lowasa, go El El go, siku hizi hata story za shule za kata hamna tena kwasababu Lowasa alizijenga, baada yake nini cha maana akimefanyika?, like SS like you, Mda wa kuburuzwa haupo tena, tunatafakari na kuchambua kabla ya kuongea na kuamua, wapika majungu na wanafki goodbye.