Nsabhi
JF-Expert Member
- Feb 23, 2011
- 1,093
- 162
CCM ni janga la kitaifa.
Mheshimiwa JK, nimekusikia ukiwahutubia majaji na kuwaombna samahani kuwa wanasiasa wanatafuta umaarufu na wala hujamchagua jaji ambaye ni jamaa yako kutoka barabarani. Let us be scientific, jibu hoja za Tundu Lissu moja baada ya nyingine. From there we will reach a just, reasoned conclusion.
1. Je yule jaji anayesoma first degree OUT, ana degree ya sheria kama sheria inavyotaka? Toa majibu na kwa hoja zingine.
2. Umepitia hukumu za hawa majaji uliowateua na kuzisoma kama zinakidhi matakwa ya kisheria ya hukumu?- umepima lugha wanayotumia kama ni kiingereza cha kisheria?
3. etc, etc,etc, etc,............................................................................
MAJAJI: JIHUKUMUNI WENYEWE:
1. SOMA HUKUMU ZA MAJAJI WA KIKWETE MTAUONA UKWELI WA LISU
2. MAADILI YA WENZENU YAJADILI MTAUONA UKWELI WA LISU
Kama alivyosema jaji Mihayo, afadhali kuwaachia watuhumiwa 10 walioua kuliko kumnyonga mtu mmoja ambaye hakuua! The opposite is the case with JK appointed judges